CCM waomba rasmi msaada wa dola kuwadhibiti wapinzani wao wakuu, CHADEMA

Feb 13, 2011
37
14
Chama tawala,CCM kinaonekana kufikwa na maji shingoni na sasa kinatapatapa huku na kule ili kukidhibiti chama kikuu cha upinzani-CHADEMA ambacho kinafanya maandamano na mikutano ya hadhara nchi nzima.Maandamano na mikutano hiyo,kwa mujibu wa viongozi wa CHADEMA yana malengo ya kupinga malipo ya fidia ya sh.bilioni 94 kwa kampuni ya kufua umeme ya dowans,kupinga kupanda kwa gharama za maisha,kupinga kupanda kwa gharama za umeme,kupinga vitendo vya ufisadi,kuishinikiza serikali ya jk iweke ratiba ya mchakato utakaohakikisha uchguzi wa mwaka 2015 unafanyika chini ya katiba mpya.
CCM na serikali yake hawana majibu kwa hoja hizi nzito za CHADEMA,sasa wanakimbilia kuomba msaada wa dola.Kwa CCM kujifanya ionekane inaomba msaada wa dola badala ya kuviagiza vyombo vya dola ni unafiki mkubwa wa kisiasa,CCM wanataka waonekane machoni pa watanzania kuwa"hawatumii vibaya vyombo vya dola kuudhibiti upinzani,wakati inajulikana ni tabia yao kuvitumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani wao.
Kitendo cha CCM kuomba msaada wa dola kuwamaliza CHADEMA kisiasa ni ishara ya kufilisika kihoja na kisiasa,CCM sasa hawana hoja wanakimbilia kutumia nguvu za dola ambazo ziko chini ya udhibiti wao. CCM kutaka waeleweke na watu kwamba wanaomba msaada wa dola ni uzandiki na hadaa kwa watanzania.
Alichokiongea bwana Chiligati leo na wandishi wa habari alipokuwa anatoa tamko la kuomba msada wa dola kuidhibiti CHADEMA,hakina tofauti na kile alichokiongea bosi wake Kikwete.Kwa maana hiyo dhamira ya kuwabana CHADEMA ilishaanza kusukwa kabla hata kikwete hajaiweka hotuba yake yenye vitisho kwa CHADEMA hadharani kwa taifa.
Wakati katibu mkuu wa CHADEMA DK Wilbrod Slaa akisisitiza kwamba maandamano yanafanywa na CHADEMA ni ya amani ya yenye shabaha ya kuihimiza serikali iitikie kilio cha Umma ofisi ya msajili wa vyama vya siasa chini ya bwana tendwa imeungana na CCM kuwatisha na hatimaye kuwadhofisha CHADEMA kwa kuwasingizia kwamba wanafanya "UCHOCHEZI" katika mikutano yao.
Kudhihirisha kwamba anataka kuwafurahisha CCM au anatekeleza matakwa ya kisiasa ya CCM,Tendwa amefikia hatua ya kutamka maneno ya kukifuta CHADEMA na kuzungumzia uwezekano wa mkurugenzi wa mashita ya jinai kuwafungulia mashitaka CHADEMA.
Mtiririko wote huu unaonesha jinsi serikali ilivyojipanga kuwadhibiti CHADEMA.Fikiria Mtiririko wa mambo haya;"Kikwete anatoa hotuba leo ya kuwatuhumu CHADEMA bila sababu kesho wakuu wa CHADEMA wanakatwa kwa kisingizio cha uchochezi.CCM watangaza hadharani kuomba msaada wa dola na Tendwa anaingilia kati kutumia ofisi ya umma kuwasaidia CCM" yote haya ni ya kupangwa.
Jambo moja la faraja ni hili "CHADEMA kama watetezi makini wa watanzania walishajua yote haya kabla na walitarajia yangefanywa" Kwa hiyo kwa CHADEMA"MWENDO ULEULE MPAPAKA KIELEWEKE"
 
2010 - 2015, CCM na Mafisadi na wanaowadanganya watavuna mabuya.
...Wadau wa demokrasia tuendelee kusonga mbele.

Vitisho vyao si lolote mbele ya umma.
 
Kwa nini chadema wanafanya mikutano si kwa ajili ya kuangusha dola,au kupata ela,ni kwa ajili ya ukombozi wa kweli wa taifa letu na ustawi wa watu wetu na kizazi kijacho,,na tupo tayari kwa lolote litakalotokea liwe jema au baya...ushindi ni lazima...hadi kieleweke
 
Hawana yakusema hawo mafisadi...wasipotezi muda wao kutuambia mambo ambayo nikawaida yao kusema..tumewachoka
 
Katibu wa uenezi wa ccm john chiligati amemfananisha katibu mkuu wa chadema dr. Slaa na jonas savimbi wa angola. Chiligati pia amewalaumu chadema kwa kuiweka amani ya nchi rehani. Pia ameyapinga maandamano hayo na kuitaka dola iwadhibiti. Ni wazi kwa kauli hizi inaonesha wazi kuwa ccm wanapenda wananchi waendelee kuwa mambumbumbu bila kujua haki zao na namna pesa za umma zinavyotafunwa na wajanja wachache wenye meno. SOURCE: Nipashe-trh 5 March 2011, jambo leo 5 march 2011..
 
CCM hawapendi wapatiwe elimu ya uraia kwa kuwa siku zote mtaji wao wa ushindh ni ujinga na umasikini wa watanzania. Wameshtuka sana kuona baada ya wao kutoswa maeneo mengi ya mijini sasa mikutano ya chadema inavuta maelfu ya watu vijijini. Wanaona hii ni hatari kubwa sana kwa chama chao.
 
tukicheka aeeee, yukinuna aaaeeeeeeee, wenzetuuuu preshaaaa inapanda inashukaaaaaaaaaaaaa...

nimeukumbuka huu wimbo wa campaign..kweli sisi wanaogopa nguvu ya umaa.
harakati zinaendelea mpaka kieleweke
 
hv hawa ccm wana nini? Hawana jipya ni cdm tu, ni viongozi wa ngapi wa chama na serikali hadi sasa washatoa kauli kuhusu cdm na maaandamano? Si wawapuuze wataenda watarudi kwani wao si chama tawala wenge la nini? au wana hofu coz ushindi wao haukuwa halali? Mi sioni sababu ya wao kuweweseka kwa maamdamano. Ila inafurahisha serikali yoote ni kuwaza 'chama cha msimu' wafanye mambo ya msingi waachane na cdm
 
mh!kila m2 ataongea kutetea kitumbua chake

na ndiyo maana KAFU wakaona wakiwaachia nguruwe shamba watalimaliza pekeyao ..... wakajiunga nao ili watafune mazao kwenye shamba kwa pamoja
 
Katibu wa uenezi wa ccm john chiligati amemfananisha katibu mkuu wa chadema dr. Slaa na jonas savimbi wa angola. Chiligati pia amewalaumu chadema kwa kuiweka amani ya nchi rehani. Pia ameyapinga maandamano hayo na kuitaka dola iwadhibiti. Ni wazi kwa kauli hizi inaonesha wazi kuwa ccm wanapenda wananchi waendelee kuwa mambumbumbu bila kujua haki zao na namna pesa za umma zinavyotafunwa na wajanja wachache wenye meno. SOURCE: Nipashe-trh 5 March 2011, jambo leo 5 march 2011..
 
Wanaweseka kila kona upepo unaovuma wa CDM unawaperaka puta.Tunategemea Dr kuitwa kila jina Savimbi alikuwa na sila na mstuni,Sasa cdm wapo wapi?,Haooooooooooooooooooooo
 
Hawa na wanajeshi au raia,Savimbi yu wapi wa mmekurupuka
 

Attachments

  • karagwe2.jpg
    karagwe2.jpg
    27.3 KB · Views: 64
  • karagwe8.jpg
    karagwe8.jpg
    20.4 KB · Views: 47
  • IMG_2574-1.JPG
    IMG_2574-1.JPG
    152.8 KB · Views: 56
  • chato4.jpg
    chato4.jpg
    74.5 KB · Views: 57
  • chato.jpg
    chato.jpg
    87.9 KB · Views: 56
  • Chadema.jpg
    Chadema.jpg
    23.7 KB · Views: 48
Katibu wa uenezi wa ccm john chiligati amemfananisha katibu mkuu wa chadema dr. Slaa na jonas savimbi wa angola. Chiligati pia amewalaumu chadema kwa kuiweka amani ya nchi rehani. Pia ameyapinga maandamano hayo na kuitaka dola iwadhibiti. Ni wazi kwa kauli hizi inaonesha wazi kuwa ccm wanapenda wananchi waendelee kuwa mambumbumbu bila kujua haki zao na namna pesa za umma zinavyotafunwa na wajanja wachache wenye meno. SOURCE: Nipashe-trh 5 March 2011, jambo leo 5 march 2011..
Bado wana hangover ya siasa za chama kimoja,zidumu fikra,maandamanop ya kupongeza juhudi za ccm,ndio vitu ambazo wanaviota. Sasa hivi wananchi wamebadilika. Ccm hawawezi kuchagulia vyama namna ya kuendesha siasa,hawawezi kusubiri mpanga kamani za uchaguzi ndio waendeshe siasa,hii ni weakness kuibwa sana ya kifikra. Mfumo wa vyama vingi haupo kwa lengo la kuongozwa na chama tawala,wanachotakiwa ccm ni kutenda yaliyomema.kinachosemwa na chadema juu ya ufisadi wa fedha za wananchi kinawafanya ccm watapetape.
 
Chama tawala,CCM kinaonekana kufikwa na maji shingoni na sasa kinatapatapa huku na kule ili kukidhibiti chama kikuu cha upinzani-CHADEMA ambacho kinafanya maandamano na mikutano ya hadhara nchi nzima.Maandamano na mikutano hiyo,kwa mujibu wa viongozi wa CHADEMA yana malengo ya kupinga malipo ya fidia ya sh.bilioni 94 kwa kampuni ya kufua umeme ya dowans,kupinga kupanda kwa gharama za maisha,kupinga kupanda kwa gharama za umeme,kupinga vitendo vya ufisadi,kuishinikiza serikali ya jk iweke ratiba ya mchakato utakaohakikisha uchguzi wa mwaka 2015 unafanyika chini ya katiba mpya.
CCM na serikali yake hawana majibu kwa hoja hizi nzito za CHADEMA,sasa wanakimbilia kuomba msaada wa dola.Kwa CCM kujifanya ionekane inaomba msaada wa dola badala ya kuviagiza vyombo vya dola ni unafiki mkubwa wa kisiasa,CCM wanataka waonekane machoni pa watanzania kuwa"hawatumii vibaya vyombo vya dola kuudhibiti upinzani,wakati inajulikana ni tabia yao kuvitumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani wao.
Kitendo cha CCM kuomba msaada wa dola kuwamaliza CHADEMA kisiasa ni ishara ya kufilisika kihoja na kisiasa,CCM sasa hawana hoja wanakimbilia kutumia nguvu za dola ambazo ziko chini ya udhibiti wao. CCM kutaka waeleweke na watu kwamba wanaomba msaada wa dola ni uzandiki na hadaa kwa watanzania.
Alichokiongea bwana Chiligati leo na wandishi wa habari alipokuwa anatoa tamko la kuomba msada wa dola kuidhibiti CHADEMA,hakina tofauti na kile alichokiongea bosi wake Kikwete.Kwa maana hiyo dhamira ya kuwabana CHADEMA ilishaanza kusukwa kabla hata kikwete hajaiweka hotuba yake yenye vitisho kwa CHADEMA hadharani kwa taifa.
Wakati katibu mkuu wa CHADEMA DK Wilbrod Slaa akisisitiza kwamba maandamano yanafanywa na CHADEMA ni ya amani ya yenye shabaha ya kuihimiza serikali iitikie kilio cha Umma ofisi ya msajili wa vyama vya siasa chini ya bwana tendwa imeungana na CCM kuwatisha na hatimaye kuwadhofisha CHADEMA kwa kuwasingizia kwamba wanafanya "UCHOCHEZI" katika mikutano yao.
Kudhihirisha kwamba anataka kuwafurahisha CCM au anatekeleza matakwa ya kisiasa ya CCM,Tendwa amefikia hatua ya kutamka maneno ya kukifuta CHADEMA na kuzungumzia uwezekano wa mkurugenzi wa mashita ya jinai kuwafungulia mashitaka CHADEMA.
Mtiririko wote huu unaonesha jinsi serikali ilivyojipanga kuwadhibiti CHADEMA.Fikiria Mtiririko wa mambo haya;"Kikwete anatoa hotuba leo ya kuwatuhumu CHADEMA bila sababu kesho wakuu wa CHADEMA wanakatwa kwa kisingizio cha uchochezi.CCM watangaza hadharani kuomba msaada wa dola na Tendwa anaingilia kati kutumia ofisi ya umma kuwasaidia CCM" yote haya ni ya kupangwa.
Jambo moja la faraja ni hili "CHADEMA kama watetezi makini wa watanzania walishajua yote haya kabla na walitarajia yangefanywa" Kwa hiyo kwa CHADEMA"MWENDO ULEULE MPAPAKA KIELEWEKE"

Mwiz utamfaham hata ktk kujtetea wala s kwa uthibtisho wa vitu. Yan wana ccm wote sa ivi mdomon mwao ni CHADEMA, iv mbona hawazungumzii dowans, umeme, maisha magumu nk ambayo yote haya chanzo chake ni wao? Watuache si wenye nchi tudai hak zetu! Si tendwa wala Jk, wote hawa wezi! Hatuogop ng'ooo! Semen yote juu ya cdm then mkimalza kpondo kpo palepale!
 
Issue ni kujibu mapigo, vipi hawa wameishiwa kabisa cha kuzungumza. Wamtafute Prof Baregu atawapa point kidogo za kuanzia.:decision: Duh CCM Kwishney
 
Back
Top Bottom