KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
yn ndani ya miaka 4 ijayo viongozi weng sn wa ccm watakua wameiaga dunia kwa presha
Yaani kweli wewe Bigirita ndo hamnazo kabisa, umeamua kuonyesha vikufuli vyako ulivyovaa siku ulivyofunga ndoa yako! du hii kali.
Kibali cha Maandamano CCM wameomba kama geresha tu ili ionekane wote wamenyimwa na CCM wameheshimu amri ya polisi. Ni ujanja wa kitoto kiasi fulani na haulengi kuondoa tatizo bali kulilinda