bajeti ya mwaka wa fedha 2012/2013 ni busha inahitaji upasuaji...ni bomu itauwa watu wasio na kinga na fedha...ni bajeti ya kuota lakini CCM wanang'ang'ana matumbo yao...mimi cjui mtu kama Sengeka nilikuwa namuheshimu sana lakini kumbe ni wakati ule wa LOWASA tu...tena ni hatari kabisa na mwanamakundi na mnafiki mkubwa ndiyo maana yuko kama Mpira (BALL)..kazi ya kuchumia tumbo na masaburi