Elections 2010 CCM wanategemea kura za nani kushinda uchaguzi?

MANI

Platinum Member
Feb 22, 2010
7,320
6,376
Jamani Waungwana wezangu mimi nashindwa kuelewa matamshi ya viongozi wakuu wa CCM kuelekea uchaguzi mbona hayaendani na chama kinachotegemea sanduku la kura kupata ushindi. Mwenyekiti wao alisema hahitaji kura za wafanyakazi kwa hiyo hawezi kuwaongezea mshahara hata kama hawatampigia kura, jana makamu mwenyekiti wao amesema wale wote ambao wanaona hawakutendewa vyema kwenye mchakato wa kupitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wanaweza kuondoka pamoja na wafuasi wao. Sasa kama chama kinachoingia kwenye ushindani wa kura kinaanza kuwakataa wapiga kura kwamba hakina haja nao je wenzetu wana mbinu gani nyingine wanazotumia kushinda!
 
Jamani Waungwana wezangu mimi nashindwa kuelewa matamshi ya viongozi wakuu wa CCM kuelekea uchaguzi mbona hayaendani na chama kinachotegemea sanduku la kura kupata ushindi. Mwenyekiti wao alisema hahitaji kura za wafanyakazi kwa hiyo hawezi kuwaongezea mshahara hata kama hawatampigia kura, jana makamu mwenyekiti wao amesema wale wote ambao wanaona hawakutendewa vyema kwenye mchakato wa kupitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wanaweza kuondoka pamoja na wafuasi wao. Sasa kama chama kinachoingia kwenye ushindani wa kura kinaanza kuwakataa wapiga kura kwamba hakina haja nao je wenzetu wana mbinu gani nyingine wanazotumia kushinda!

Mkuu CCM wantegemea kura za maruani
 
Kama ulisoma enzi zile, kipindi cha mwalimu, enzi zile hata Kiranja Mkuu wa Shule ya Msingi anaongoza kwa busara na uwajibikaji kuliko viongozi wetu wengi wa sasa, nadhani utakumbuka hadithi ya 'Sizitaki Mbichi hizi'
 
Hawa jamaa wamekosa utashi. ila ipo siku.
wanakiburi sana. tena sana. unajua kwanini?
system ya utawala wa sasa.
ukianzia yule mjumbe wa nyumba Kumi ni sisiemu.
kuibadilisha hii itatuchukua muda kaka.
kwahiyo wana uwezo wa kuropoka lolote lile kwasababu wana uhakika na kura.
 
Wallah safari hii wataumbuka. Ngoja akina Slaa, Zitto, Mbowe, Marando, Tundu Lissu na wengine waanze kumwaga 'sumu' huko vijijini.
 
ccm inategemea kura aina ifuatayo kushinda.
1. Kura za wizi.
hapa wanajiandalia kucheza na ballots, wataiba ili kuwezesha kura zao zitoshe, hapa watawatumia wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na makada wezi wazoefu kama kina Kingunge na makada wenzao.

2.kura za wasio piga kura.
hili ni kundi kubwa la wapenda mageuzi wasio piga kura, wengi wao wako miji mikuu, hasa Dar es salaam , Morogoro , Mwanza na mikoa mingine mikubwa, kwao kupiga kuraa ni jukumu la wajinga, wasio soma, na wala wasio na kazi, wao wako busy kila siku, wanadhani ukombozi ni jukumu la kundi fulani la watu.

3. kura za Wazee na waoga wa mageuzi.
hawa ni wale watu wanaogopa mageuzi, wanaminishwa kuchagua chama tofauti na ccm ni kumkana JK Nyerere,RIP.
WANAONYESHWA FILAMU ZA VITA BURUNDI NA RWANDA , huku wakiaminishwa kupitia Channel 10, TBC, Uhuru FM, Daily News, uhuru na Mzalendo kuwa , wapinzani ni chanzo cha vita.

4.Kura za wasomi mamluki.
hawa walikuwepo hata uchaguzi wa mwaka 2005, wengi wao walikwenda kula pilau pale Diamond Jubelee, wakihadiwa kulipiwa ada kwa 100%, wakatoka pale wameshiba wakiimba ccm nambari one, Nguvu mpaya kazi mpaya.
hawa ni wajinga ingawa wapo vyuo vya elimu ya juu, elimu yao haijawasaidia kuondokana na ujinga, hata wakuchanganua ujinga mwepesi kama huo.

5.Kura za waarabu, Wahindi na foreigner.
hawa ni wengi sana, kuna wasomali kemkem wanaishi kiholela hapa Tz, wako Tanga, wako Temeke DSM, WAKO kILIMANJARO NA aRUSHA,
KUNAwahindi, WAO na familia zao, wamenufaika na utawala legelege wa ccm, wanafuja mali zataifa hili kama vichaa, wengi hawana uraia wa TZ, ingawa wana vitambulisho vya kupigia kura, wengi wamechanga mamilioni kusaidia kampeni za kina makamba na ccm yao, ni waoga wamageuzi, wanaogopa kupata mtawala mfuata sheria, maana watakua hatarini kunaswa na mkono wa sheria.

kufikia hapo ccm itakua na kura millioni 4. hizi wanazo tayari, wanatafutia za kujazia , kutegemea na kazi ya kampeni na mvuto wa mgombea wao kama anao bado, na mvuto wa wabunge kama kina Mwakyembe, kuweza kumpatia kura za wanaKyela Kikwete.
 
na kura za wafu..si mliona wale waliopiga kura juzi kwenye kura za maoni
 
2.kura za wasio piga kura.
hili ni kundi kubwa la wapenda mageuzi wasio piga kura, wengi wao wako miji mikuu, hasa Dar es salaam , Morogoro , Mwanza na mikoa mingine mikubwa, kwao kupiga kuraa ni jukumu la wajinga, wasio soma, na wala wasio na kazi, wao wako busy kila siku, wanadhani ukombozi ni jukumu la kundi fulani la watu.


Ndugu yangu Nguvumali ulichokisema hapa kimeniuma sana kwa kuwa ni kweli nadhani kuna swala kama hili amelileta mkuu Mwanakijiji sasa sisi tunaojua umuhimu wa kupiga kura nadhani ni wajibu wetu mwaka huu kuwaamsha hawa ili mapinduzi ya kweli yawepo.
 
Jamani Waungwana wezangu mimi nashindwa kuelewa matamshi ya viongozi wakuu wa CCM kuelekea uchaguzi mbona hayaendani na chama kinachotegemea sanduku la kura kupata ushindi. Mwenyekiti wao alisema hahitaji kura za wafanyakazi kwa hiyo hawezi kuwaongezea mshahara hata kama hawatampigia kura, jana makamu mwenyekiti wao amesema wale wote ambao wanaona hawakutendewa vyema kwenye mchakato wa kupitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wanaweza kuondoka pamoja na wafuasi wao. Sasa kama chama kinachoingia kwenye ushindani wa kura kinaanza kuwakataa wapiga kura kwamba hakina haja nao je wenzetu wana mbinu gani nyingine wanazotumia kushinda!
Pia waseme hata wale wanachama waliowapigia kura wale wanaolalamika pia waondoke ,hawana haja nao au sio
 
Hawa jamaa wamekosa utashi. ila ipo siku.
wanakiburi sana. tena sana. unajua kwanini?
system ya utawala wa sasa.
ukianzia yule mjumbe wa nyumba Kumi ni sisiemu.
kuibadilisha hii itatuchukua muda kaka.
kwahiyo wana uwezo wa kuropoka lolote lile kwasababu wana uhakika na kura.

katika ujumla wake, upinzani unahitaji kuendelea kuelimisha umma , juu ya umuhimu wa kupiga kura, na kuelezea namna kura moja ilivyo na thamani, J2 Niliona kipindi kimoja kizuri EATV kikihamasisha vijana kupiga kupiga kura.
kidogo kidogo vijana wataamka, watambukizana tabia, Nilikua Kenya wakati wa kura za maoni amini usiamini , kule watu wako proud kupiga kura, hakuna anaetamani kukosa,
ELIMU BILA KIKOMO JUU YA UMUHIMU WA KUPIGA KURA ITALIOKOA TAIFA.
 
ccm inategemea kura aina ifuatayo kushinda.
1. Kura za wizi.
hapa wanajiandalia kucheza na ballots, wataiba ili kuwezesha kura zao zitoshe, hapa watawatumia wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na makada wezi wazoefu kama kina Kingunge na makada wenzao.

2.kura za wasio piga kura.
hili ni kundi kubwa la wapenda mageuzi wasio piga kura, wengi wao wako miji mikuu, hasa Dar es salaam , Morogoro , Mwanza na mikoa mingine mikubwa, kwao kupiga kuraa ni jukumu la wajinga, wasio soma, na wala wasio na kazi, wao wako busy kila siku, wanadhani ukombozi ni jukumu la kundi fulani la watu.

3. kura za Wazee na waoga wa mageuzi.
hawa ni wale watu wanaogopa mageuzi, wanaminishwa kuchagua chama tofauti na ccm ni kumkana JK Nyerere,RIP.
WANAONYESHWA FILAMU ZA VITA BURUNDI NA RWANDA , huku wakiaminishwa kupitia Channel 10, TBC, Uhuru FM, Daily News, uhuru na Mzalendo kuwa , wapinzani ni chanzo cha vita.

4.Kura za wasomi mamluki.
hawa walikuwepo hata uchaguzi wa mwaka 2005, wengi wao walikwenda kula pilau pale Diamond Jubelee, wakihadiwa kulipiwa ada kwa 100%, wakatoka pale wameshiba wakiimba ccm nambari one, Nguvu mpaya kazi mpaya.
hawa ni wajinga ingawa wapo vyuo vya elimu ya juu, elimu yao haijawasaidia kuondokana na ujinga, hata wakuchanganua ujinga mwepesi kama huo.

5.Kura za waarabu, Wahindi na foreigner.
hawa ni wengi sana, kuna wasomali kemkem wanaishi kiholela hapa Tz, wako Tanga, wako Temeke DSM, WAKO kILIMANJARO NA aRUSHA,
KUNAwahindi, WAO na familia zao, wamenufaika na utawala legelege wa ccm, wanafuja mali zataifa hili kama vichaa, wengi hawana uraia wa TZ, ingawa wana vitambulisho vya kupigia kura, wengi wamechanga mamilioni kusaidia kampeni za kina makamba na ccm yao, ni waoga wamageuzi, wanaogopa kupata mtawala mfuata sheria, maana watakua hatarini kunaswa na mkono wa sheria.

kufikia hapo ccm itakua na kura millioni 4. hizi wanazo tayari, wanatafutia za kujazia , kutegemea na kazi ya kampeni na mvuto wa mgombea wao kama anao bado, na mvuto wa wabunge kama kina Mwakyembe, kuweza kumpatia kura za wanaKyela Kikwete.

Aina nyingine ya kura ni. Kuwadiscourage watu kupiga kura katika maeneo yenye upinzani mkali kwa kuchelewesha vifaaa na kufungua vituo late, halafu zoezi kwenda mwendo wa jongoo. Mtu atakayepiga kura itabidi asimame kwenye msitari masaa matatu mpaka manne.
 
Aina nyingine ya kura ni. Kuwadiscourage watu kupiga kura katika maeneo yenye upinzani mkali kwa kuchelewesha vifaaa na kufungua vituo late, halafu zoezi kwenda mwendo wa jongoo. Mtu atakayepiga kura itabidi asimame kwenye msitari masaa matatu mpaka manne.

asante sana, hizo ni kura zingine , tena wanazitumia sana kwenye maeneo yenye upinzani mkali, kumbuka Ubungo 2005, kumbuka uchaguzi wa DSM mwaka 1995, ni mbinu yao, wanajitengeneza ghost vote, kisha wanatangaza kufutwa uchaguzi , iliwahi kutokea ZNZ, KISHA CUF wakasusa.
 
Back
Top Bottom