The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
CDM leader; CCM follower. What a shame for a ruling party!
Sioni kama ni issue kutoa mialiko wa watu kuhudhuria. utumiaji wa barua za mialiko ni wa kitaaluma zaidi.
scan basi mi nasubiri ili nikalale
Mtoa mada weka hiyo sample hapa tuone.
Swala je kutakuwa na pilau watu tujichange tuje!?
Magwanda yanapo-rowa jasho hutoa harufu kali sana ya Kikwapa!
tumeshawachoka na ahadi hewa hata nape ametuthibitishia hilo na yeye anailalamikia serikali yake barabara zimesimma hazijengwi kungine makandarasi wanaondoka hospitali na mengineyo yeye sasa anafanya kazi ya waziri mkuu kumpangia nini cha kufanya ma padlock
Washaumbuka NyinyiEM lazima waweke pilau hili watu wawe wengi au umesahau mwanza?? Hila itabidi nimtahadharishe yule aliyepewa barua na mob yake wasisahau nauli ya kurudi maana yaliyotokea mwanza yasije yakajirudia.
Kwa hiyo mnamgopa kufunikwa?
Kuwahamasisha wanachama wao wahudhurie mkutano sio issue ni kitendo cha kawaida sana. Ngoja tuione iyo barua then kama kuna njia za kulaghai ndo itakuwa muafaka kusema lolote. Lakini kwa sasa kuropoka na kurusha makombora wakati hata kilichoandikwa hukijui ni ugonjwa huu.
du..! Basi ngoja niwashtue wakina Molemo ili jmos tukapige hiyo pilau ya nyinyiem ili tupate nguvu ya kuendeleza M4C yetu.
Vipi UAMSHO walikutumia barua ya kwenda kufanya ile shuhuli mliyofanya?Sioni kama ni issue kutoa mialiko wa watu kuhudhuria. utumiaji wa barua za mialiko ni wa kitaaluma zaidi.