Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
yapo madai kutoa sehemu mbali mbali kuwa viongozi wa ccm wakiwemo wajumbe wa nyumba kumi kumi wanapita mitaani wakiwa na mfano halisi wa karatasi za kupigia kura zilizotolewa na tume ya uchaguzi kwa nia ya kuwapatia elimu na wakiwashawishi watu wanaodhani ni washabiki wao kuwapigia wagombea wa ccm kura siku ya tarehe 31 oktoba.
Je hiyo ni halali? Wamepata wapi mfano wa karatasi hizo au ndio zile zilizoingia kupitia mpaka wa tunduma?
Je hiyo ni halali? Wamepata wapi mfano wa karatasi hizo au ndio zile zilizoingia kupitia mpaka wa tunduma?