rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kuna taarifa tumepata kutoka sehemu mbalimbali hapa Arusha kuna watu wanapita wakishawishi watu wawauzie shahada za kupigia kura
najiuliza kama taarifa hizi ni kweli je ni njia mojawapo ya CCM kushinda tena 2015??
kama wanafanya hivi ina maana daftari la wapiga kura halitaboreshwa kabla ya 2015 ili waliopoteza vitambulisho vyao wapate vipya?
maswali ni mengi kuliko majibu,na kama hii ni mojawapo ya mbinu za awali je Chadema inalijua hili?
najiuliza kama taarifa hizi ni kweli je ni njia mojawapo ya CCM kushinda tena 2015??
kama wanafanya hivi ina maana daftari la wapiga kura halitaboreshwa kabla ya 2015 ili waliopoteza vitambulisho vyao wapate vipya?
maswali ni mengi kuliko majibu,na kama hii ni mojawapo ya mbinu za awali je Chadema inalijua hili?