Chama cha magamba kinanishangaza sana badala ya kuvua gamba ili waweze kuisimamia serikali iwahudumie wananchi ipasavyo wao wanalenga kushinda uchaguzi. Huku ndio kutufanya watanzania wote ni mabwege.
Kama kweli CCM inathamira ya kuwatendea haki isiishie kuadhibu watendaji wake bali iingie mpaka kuwaondio watendaji wa bovu ndani ya Serikali walioshirikiana pamoja na kuwalinda mafisadi kuibia uma, bila shaka hapo tutamini kuwa wamejivua gamba la ufisadi , bila hivyo watakuwa wamelipiga rangi gamba.
Kama kweli CCM inathamira ya kuwatendea haki isiishie kuadhibu watendaji wake bali iingie mpaka kuwaondio watendaji wa bovu ndani ya Serikali walioshirikiana pamoja na kuwalinda mafisadi kuibia uma, bila shaka hapo tutamini kuwa wamejivua gamba la ufisadi , bila hivyo watakuwa wamelipiga rangi gamba.