Katika siku za hivi karibuni,CCM Rorya wanamtumia Mwanamziki maarufu kutoka Kwenye kampeni zao za uchaguzi huko Rorya.ITV jana wamemwonyesha Mwanamuziki huyo Osogo Winyo akitumbuiza kwenye kampeni za CCM huko Buturi kabla mgombea wa CCM huko Rorya Lameck Airo hajahutubia.
Jee hii imekaaje kisheria zetu za uchaguzi..inaruhusiwa?...Au tume ya taifa ya uchaguzi nayo haina taarifa?
Tuelimishane
Jee hii imekaaje kisheria zetu za uchaguzi..inaruhusiwa?...Au tume ya taifa ya uchaguzi nayo haina taarifa?
Tuelimishane