MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Wakishatoka kwenye mikutano, hizo bendera wanazitupa.
Hamna kijana anayethubutu kuonekana na bendera za ccm kitaa!
Ni aibu sana hata mimi najiuliza utapita wapi nayo
Wakishatoka kwenye mikutano, hizo bendera wanazitupa.
Hamna kijana anayethubutu kuonekana na bendera za ccm kitaa!
hili nalo badala ya kujibu hoja linaleta mambo ya Barca, kanusha hiyo hoja kwa hoja,wakuu mtupie picha huyu Mzinzi wakinyiramba, wanyiramba hatujalelewa hivi.Ivi kati ya CCM na CDM nani ni Barca?semeni yote mwisho wake tar mosi April. Sina mashaka na Arumeru. Barcelona ikicheza na Kibangu united hata ukashifu, uwatukane ama uwazomee barca watashinda tu. Mtu anayetamani kuona CCM INAPOTEZA ASUBIRI SEHEMU NYINGINE SIO ARUMERU
mkewe yupo China masomoni, Wachina wanajipakulia, ndo maana kaamua kulipa kisasiKuna jamaa mmoja mzinzi, alikamatwa kule Igunga,ana kofia nene sana katika chama cha magamba inayohusiana na maswala ya pesa, anaitwa nani vile! Naye yuko Arumeru? Basi wenye wake zenu kuweni macho huko.
Sawa kabisa jirani. Mwigulu anatuaibisha watu wa Iramba. Hajitambui. Ni kupe anayewanyonya damu wanyonge wa nchi hii. Shame on him.hili nalo badala ya kujibu hoja linaleta mambo ya Barca, kanusha hiyo hoja kwa hoja,wakuu mtupie picha huyu Mzinzi wakinyiramba, wanyiramba hatujalelewa hivi.Ivi kati ya CCM na CDM nani ni Barca?
Huyu jamaa ni FATAKI. Ni adui wa ustawi wa jamii yetu.mkewe yupo China masomoni, Wachina wanajipakulia, ndo maana kaamua kulipa kisasi
semeni yote mwisho wake tar mosi April. Sina mashaka na Arumeru. Barcelona ikicheza na Kibangu united hata ukashifu, uwatukane ama uwazomee barca watashinda tu. Mtu anayetamani kuona CCM INAPOTEZA ASUBIRI SEHEMU NYINGINE SIO ARUMERU
mkewe yupo China masomoni, Wachina wanajipakulia, ndo maana kaamua kulipa kisasi
Sawa kabisa jirani. Mwigulu anatuaibisha watu wa Iramba. Hajitambui. Ni kupe anayewanyonya damu wanyonge wa nchi hii. Shame on him.
Tutalichapa bakora hili lizinzi.Uleliani..........iza shikamuuuuuuu.........nilomba/impele fimbo nanchape Nchemba......teheteheehete.....kamsuri kaza kaza....kamsuri ka ha mende...........wanyiramba bana mie najua kina dada tu ndio sio wachoyo kama dada zangu wahaya...kumbe hata wanaume sio wachoyo.......wanatembeza dozi hata kwa my wifes(tense error!) wa wenzao. Siku likija likizo Singida lichapeni bana.........
...usiacha pesa chalii!...chukua hiyo pesa,tumia kiasi alfu chenchi itakayobaki ipeleke kwenye mikutano ya CDM umchangee kamanda Nasari pesa ya mafuta ili tufankishe ukombozi wa kweli Arumeru...Leo Mida hii ya saa nne katika mitaa ya Leganga na Usa-River chama cha ccm kinagawa bendera na pesa kwa waendesha Toyo(pikipiki) na mikokoteni.
Bendera moja unagaiwa na shilingi elfu tano mpaka sabini kutokana Uongeaji wako. Wanafanya hivi ili kuongeza idadi ya watu kwenye mikutano yao ya Kampeni
Wanatumia gari aina ya Land Cruiser Nyeusi kufanya hiyo biashara.
Vijana wanapokea halafy wanasema "tunakula ccm, tunachagua chadema".
semeni yote mwisho wake tar mosi April. Sina mashaka na Arumeru. Barcelona ikicheza na Kibangu united hata ukashifu, uwatukane ama uwazomee barca watashinda tu. Mtu anayetamani kuona CCM INAPOTEZA ASUBIRI SEHEMU NYINGINE SIO ARUMERU
Leo Mida hii ya saa nne katika mitaa ya Leganga na Usa-River chama cha ccm kinagawa bendera na pesa kwa waendesha Toyo(pikipiki) na mikokoteni.
Bendera moja unagaiwa na shilingi elfu tano mpaka sabini kutokana Uongeaji wako. Wanafanya hivi ili kuongeza idadi ya watu kwenye mikutano yao ya Kampeni
Wanatumia gari aina ya Land Cruiser Nyeusi kufanya hiyo biashara.
Vijana wanapokea halafy wanasema "tunakula ccm, tunachagua chadema".
Acha uongo wako kama una ushahidi, note number ya gari, unajua namba za TAKUKURU wapigie then watakuja, ni vema na wewe ukajitambulisha kwao manake mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana kesi ya kujibu.
acha uongo wako kama una ushahidi, note number ya gari, unajua namba za takukuru wapigie then watakuja, ni vema na wewe ukajitambulisha kwao manake mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana kesi ya kujibu.
Nitakukumbusha haya mataputapu yako baada ya tarehe mosi mwezi ujao. Jifariji tuu sasa hivi usije ukafa mapema kwa kihoro kabla hujauona uchaguzi wenyewe. Hii sio Igunga. Hapa ni Arumeru Mashariki, Sisi tumefunguka.semeni yote mwisho wake tar mosi April. Sina mashaka na Arumeru. Barcelona ikicheza na Kibangu united hata ukashifu, uwatukane ama uwazomee barca watashinda tu. Mtu anayetamani kuona CCM INAPOTEZA ASUBIRI SEHEMU NYINGINE SIO ARUMERU
Mwambie huyo mwenye mawazo membamba, eti reference yake ni Igunga, mwambie hata Igunga CHADEMA tulishinda tena kwa kishindo kwa sababu nguvu walizotumia hazina uwiano na kura walizopata.Kama CCM ni Bacelona na CDM ni Kibangu United basi Kibangu united ni noma maana waliishinda bacelona kwenye uwanja wao wa nyumbani hasa Arusha mjini,Mwanza,Mbeya,Singida,Ubungo n.k bila kufanya faulo ya kutoa rushwa,kubadilisha matokeo,wala kugawa fulana na vitenge. Waliweza kuitetemesha Barcelona Igunga (pamaja na kuiba kura).