cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 350
"Ajidhaniye amesimama,Aangalie asianguke"semeni yote mwisho wake tar mosi April. Sina mashaka na Arumeru. Barcelona ikicheza na Kibangu united hata ukashifu, uwatukane ama uwazomee barca watashinda tu. Mtu anayetamani kuona CCM INAPOTEZA ASUBIRI SEHEMU NYINGINE SIO ARUMERU
Mwigulu na huko uliko kama utaendelea na kale katabia kako kachafu ka kutembea na wake za wenzio,lazima ukutane na "NYONYA SWEET"Muulize waziri wako Malima,anaelewa ninachokiongea,saa hizi yuko busy na media kudanganya wananchi upuuzi wake alioufanya.