Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Leo Mida hii ya saa nne katika mitaa ya Leganga na Usa-River chama cha ccm kinagawa bendera na pesa kwa waendesha Toyo(pikipiki) na mikokoteni.
Bendera moja unagaiwa na shilingi elfu tano mpaka sabini kutokana Uongeaji wako. Wanafanya hivi ili kuongeza idadi ya watu kwenye mikutano yao ya Kampeni
Wanatumia gari aina ya Land Cruiser Nyeusi kufanya hiyo biashara.
Vijana wanapokea halafy wanasema "tunakula ccm, tunachagua chadema".
Bendera moja unagaiwa na shilingi elfu tano mpaka sabini kutokana Uongeaji wako. Wanafanya hivi ili kuongeza idadi ya watu kwenye mikutano yao ya Kampeni
Wanatumia gari aina ya Land Cruiser Nyeusi kufanya hiyo biashara.
Vijana wanapokea halafy wanasema "tunakula ccm, tunachagua chadema".