R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Tumesahau mambo mengi.
1. Mjadala wa katiba:israel:
2. Hoja ikiwa hot bungeni swala la ulimboka linatukika , siku azigandi:yawn:
3. Bunge atujui mpk sasa wanapitisha nini:sleepy:
4. Chadema (lema) kapotezwa na kazi ya kufufua uhai wa chama:eek2:
5. Watu wamesahau mpaka kuchukua vitambulisho vya wapiga kura kisa dk
6. Vyuo vikuu wamebetweka
7. Wanaharakati wamesahau kutuelimisha khs katiba, makongamano chali.
8. Wabunge awaji kutuelimisha mikoa ambayo tume imepita'
Kweli haya yamepita kwa nguvu zaidi, kasi zaidi
1. Mjadala wa katiba:israel:
2. Hoja ikiwa hot bungeni swala la ulimboka linatukika , siku azigandi:yawn:
3. Bunge atujui mpk sasa wanapitisha nini:sleepy:
4. Chadema (lema) kapotezwa na kazi ya kufufua uhai wa chama:eek2:
5. Watu wamesahau mpaka kuchukua vitambulisho vya wapiga kura kisa dk
6. Vyuo vikuu wamebetweka
7. Wanaharakati wamesahau kutuelimisha khs katiba, makongamano chali.
8. Wabunge awaji kutuelimisha mikoa ambayo tume imepita'
Kweli haya yamepita kwa nguvu zaidi, kasi zaidi