Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,003
Hivi haya maandamano ya kila siku ya wana ccm wamechanganyikiwa ama nini
jamani tbc tumechoka kuwaona kama chama kina matapeli kwa nini usihame
nilitarajiaa maandamano haya yangeongozwa na watu wakiwa wanakusanya kadi za ccm
kwanini msichane hizo kadi na kuwatupia kwa makamba, kama mmemchoka hizo kelele azisaidii ndugu zanguni wale vichwa vyao anavijua nyerere mwenyewe so hapa ni ku act basi..........
jamani tbc tumechoka kuwaona kama chama kina matapeli kwa nini usihame
nilitarajiaa maandamano haya yangeongozwa na watu wakiwa wanakusanya kadi za ccm
kwanini msichane hizo kadi na kuwatupia kwa makamba, kama mmemchoka hizo kelele azisaidii ndugu zanguni wale vichwa vyao anavijua nyerere mwenyewe so hapa ni ku act basi..........