Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Wabunge wa CCM waliomaliza kikao cha bunge hapo jana wamezuiliwa kuondoka na leo kutwa nzima wamekuwa kwenye kikao cha Wabunge wote wa CCM kuangalia jinsi gani wanavyoweza kudhibitiana kutokana na hoja iliyofikishwa kwa Spika juu ya kumwondoa madarakani Waziri Mkuu kwa kura ya kutokuwa na imani nae hasa ingizingatiwa kwamba kura yenyewe itakuwa ni ya Siri.
Tusubiri tuone kitakachojiri Ngoma bado nzito na Inogile.
Tusubiri tuone kitakachojiri Ngoma bado nzito na Inogile.