Tayari kiko kaburini, tunachofanya sasa ni kutupia udongo tu.Ukiangalia kundi linalohudhuria mikutano ya ccm utagundua kuwa chama hiki kinaelekea kaburini.
Tayari kiko kaburini, tunachofanya sasa ni kutupia udongo tu.
View attachment 55578
Msafara wa CCM huo kuelekea mkutanoni.
View attachment 55579
Nape akifanya vitu vyake Njombe.
View attachment 55580
Vijana wakimsikiliza Nape kwa makini
View attachment 55581
Picha hii ya mwisho naamini kama ingekuwa kwa CDM baadhi ya watu wangesema mbona tunaona watoto tu?
Nakaribisha maoni,