Siku ya Alhamisi, nilianzisha uzi wa ''Chadema na Lema lazima wakate rufaa kupinga hukumu'', nilishambuliwa sana, lakini nilisimama imara kuelezea ni kwa nini Chadema na Lema lazima wakate rufaa mahakama ya rufaa. Hoja hizi hapa:CCM are so smart lakini chadema are smarter. Nilikuwa na mtu mmoja wa CCM akaniambia mission ilikuwa ni kumwekea lema pingamizi ili ccm wapite kilaini. Kwamba walimhukumu kwa kifungu batili ila jaji hakusema kama anaruhusiwa kugombea au la. Hata kama ilikuwa kosa la jaji lazima ukate rufaa kuliondoa. Kama Lema angedanganyika kugombea jimbo lingeenda kwa technicalities. CCM wanajua kwa kura hawawezi kushinda.
CCM HI MANYANI MAKUBWA YASIYOTUMIA UBONGO,MWISHO WA SIKU WATAKOJOLEA PUANI,MIM NIACHE NILIVYo!!!!!!!!!!!!!!!!CCM are so smart lakini chadema are smarter. Nilikuwa na mtu mmoja wa CCM akaniambia mission ilikuwa ni kumwekea lema pingamizi ili ccm wapite kilaini. Kwamba walimhukumu kwa kifungu batili ila jaji hakusema kama anaruhusiwa kugombea au la. Hata kama ilikuwa kosa la jaji lazima ukate rufaa kuliondoa. Kama Lema angedanganyika kugombea jimbo lingeenda kwa technicalities. CCM wanajua kwa kura hawawezi kushinda.
walisharuka majaji 3 baada ya kugundua siri ya magamba huyu wa sumbawanga alipewa chake mambo ikaisha!!CCM are so smart lakini chadema are smarter. Nilikuwa na mtu mmoja wa CCM akaniambia mission ilikuwa ni kumwekea lema pingamizi ili ccm wapite kilaini. Kwamba walimhukumu kwa kifungu batili ila jaji hakusema kama anaruhusiwa kugombea au la. Hata kama ilikuwa kosa la jaji lazima ukate rufaa kuliondoa. Kama Lema angedanganyika kugombea jimbo lingeenda kwa technicalities. CCM wanajua kwa kura hawawezi kushinda.