Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
- Thread starter
- #21
ndiyo maana nawaza ya kwamba hapa CCM taifa ionyeshe heshima mbele ya watanzania kwa kusimama mbele ya vyombo vya habari au katika mikutano kama ile kuliomba radhi taifa kutokana na matusi waliyotutusi.lakini wakuu...huyu dagaa tutakuwa tunamuonea tu. huyu kafuata nyayo za papa - aka mkapa.
mkapa kuanzia day 1 ya kampeni alitoa tusi zito ambalo sidhani kama lina tofauti yoyote na haya ya huyu bwana-mdogo. literally alimwita mtoto wa mtu (vincent nyerere)eti ni "bastard" , hilo ni tusi dogo?
tuanze na huyu chinga nkapa kwanza!!