Konya
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 921
- 114
kauli kama hizi ndio zitakazo chochea kwa kiasi kikubwa kwa hiyo SUKZ iyumbe na hatimaye warudi kule kule walikotoka coz siamini kama Cuf nao wataamua kukaa kimya au kuzifumbia macho kauli za namna hii ikizingatiwa kuwa cuf & ccm ndio vyama vikuu vya upinzani kwa siasa za zenji anyway tusubiri yatakayojiri baada ya hapa