KITENGE KOFIA
Member
- Oct 14, 2012
- 35
- 24
Kuhusu hili janga la udini CCM ndo wakulaaniwa,,walitumia mashek kama njia ya kuiangamiza CHADEMA..mnakumbuka yaliotokea Igunga na kwingineno..mliuasha moto wa udini muuzime sasa..mlijua dhambi ya udini ingewaacha salama...kaziii kwenu