CCM wakomba hela Hazina, mishahara ya Septemba hamna!

Mimi ni mfanyakazi wa serikali kuu na mshahara unakalibia kuisha sasa hivi toka niuchukue! Jamani hizi habari bora JF waanzishe jukwaa la udaku na umbea/propaganda kuliko kutufanya watu wazima watoto.

"Kuna watu wanamiliki viwanda vya kuzalisha uongo" by JK.
Hongera sana, naona umemnukuu Dkt Dhaifu kujustify hoja zako. Kwa mtindo huu najua Desemba yote hakuna mshahara maana. Unaposema huu ni udaku na umbea wakati leo ni tarehe 4 na watu hawajapata mishahara yao maana yake nini? Muongo nani hapa wewe, au mleta mada?
 
Ahaa! Kumbe inawauma eeh! Hii safi sana maana nyie ndiyo wale wale hata mkipigwa bado mnachagua magamba. Hata mkifanywa chochote hamsikii wala hamuambiliki. Mimi naomba serikali isiwalipe angalau miezi hata tisa tu ili mkome.
 
Hivi hakuna bajeti ya mishahara kwa watumishi wa umma?Mbona tunaambiwa ya kuwa karibu viongozi wote waandamizi wa serikali wapo nje ya nchi?Nawashangaa sana wale wanaokuja na hoja za kuishabikia ccm.
 
Ahaa! Kumbe inawauma eeh! Hii safi sana maana nyie ndiyo wale wale hata mkipigwa bado mnachagua magamba. Hata mkifanywa chochote hamsikii wala hamuambiliki. Mimi naomba serikali isiwalipe angalau miezi hata tisa tu ili mkome.

mkuu ume maliza!hawa wafanyakazi wetu wanafiki tu hawana lolote uchaguzi ukija akili zoote kalioni!wanasahau shida zote sasa namwomba sana dhaifu azidishe kukaza!Jk hawa wana vumilia hata kwenda kazini kwa mguu we kaza tu!
 
kukosekana mshahara ni kweli,lakini eti zimechotwa na ccm ni propaganda za chadema kujipa umaarufu tu kwa kila baya kuitupia chadema

Kama familia inakosa chakula na mambo ya msingi nani wa kulaumiwa?Ina maana hata kama Magamba wanafanya ujinga
wa kuwapa wananchi wake shida kwa kuchelewa kulipa mishahara tuogope kusema?Kama wanabisha basi wajitokeze hadharani kukanusha.Ni Chama kikongwe ila hawana ubunifu wa kutafuta vyanzo vipya vya mapato,hawana tofauti na simba na yanga,na ukongwe wote walionao.
 
inakuwaje private bank zinaikopesha serikali
kwani makusanyo yote ya TRA, utalii,makato ya mishahara nk zinaenda wapi kama sio hazina?
 
Ni kweli kuna wafanyakazi wengi tu Hadi Leo hawajapatA mishahara....inatokaa kwa Awamu kwa kuangalia Idara nyeti au zenye Kelele
 
Wewe ni sadist na uliyoandika hapa bi upuuzi mtupu.Kwanza kwa taarifa yako wafanyakazi walio-wengi wana ufahamu mkubwa, kwa hiyo wanajua what is going on.Ndiyo maana CCM inachukia sana wafanyikazi.Wafanyakazi hawachagui magamba,wanaochagua magamba ni wananchi wa kawaida.Hawa ndio wanaotuangusha.
Ahaa! Kumbe inawauma eeh! Hii safi sana maana nyie ndiyo wale wale hata mkipigwa bado mnachagua magamba. Hata mkifanywa chochote hamsikii wala hamuambiliki. Mimi naomba serikali isiwalipe angalau miezi hata tisa tu ili mkome.
 
Ngoja kwanza mimi nitanue huku kwa Obama. Nikimaliza ninaelekea Canada. Nyie mlie tu hadi mikia iwakatike. Mimi mm kiguu na njia kabla hiyo 2015 haijaja. Nitakula hivyo vijisent vyem hadi mnitambue! Hiki kindege mlichoninunulia kwa garama ya kula nyasi bado kinadunda hivyo mlie tu! Liwalo na liwe! Tena ni vilio vyenu ni Upepo tu utapita!
 
Tunasubiria EPA nyingine kwa style ya tofautie..Inabidi Prof Ndullu aangalie tusijemhamisha nchi..haya mambo ya siasa yasikie tu ila yakikujeuka utajuta kuwa kwenye gemu..
EPA nyingine hujaijua??? ni NSSF, PPF, LAPF nk Wa madini walio tu kungojea mafao yao. Hampati mpaka 55 - 60
 
Hii imekuwa kawaida kwa wafanyakazi wa serikali kupata mishahara baada ya siku hat 10 kunapokuwepo na mikutano ya ccm au bunge. Nadhani wanatumia hela kutoka hazina moja kwa moja.
 
Wewe ni sadist na uliyoandika hapa bi upuuzi mtupu.Kwanza kwa taarifa yako wafanyakazi walio-wengi wana ufahamu mkubwa, kwa hiyo wanajua what is going on.Ndiyo maana CCM inachukia sana wafanyikazi.Wafanyakazi hawachagui magamba,wanaochagua magamba ni wananchi wa kawaida.Hawa ndio wanaotuangusha.

lakini wafanyakazi wa serikali wakiwepo walimu, usalama wa taifa na hata wafanyakazi wa tume ya uchaguzi ndio hao hao wanaoshiriki kuchakachua kura na kusigina demokrasia!
 
Back
Top Bottom