CCM wanatumia mbinu zilezile walizotumia kwa Mwakyembe na Ulimboka!!!! Rushwa ni kitu kibaya sana!!!Kitendo kilichofanywa na ndugu hao wa marehemu kula njama na wauaji ni sawa na kunywa damu ya ndugu yao huyo.
Kawaida ya CDM,hata igunga walimwambia mgombea wao akatafute hela za kesi,wao wakasepa. Ni tabia yao kutumia vijana kwenye siasa zao chafu na kuwatosa wakimaliza kazi nao. Hela inatumika kwa wakubwa wa chama tu, tena wa huko kwao.
bado wanafikiri kizamani wamesahau siku hizi watanzania hawadanganyikiKununua misiba inawajenga vp kisiasa?
tulipokuwa wajinga tulikuwa tunaamini press na uhuni wa watu kama hao now days tumeelimika
Ndiyo mipango yenu sasa kuanza kufunga midomo ya wakemeaji wa maovu ya viongozi?.Ni lini tutapata mashujaa wa Chadema kutoka JF? Mpo watu kazi yenu kushabikia maafa kwa kisingizio cha M4C basi tunataka kusikia angalau Mwita Maranya au Molemo wamevunjwa miguu kwa ukereketwa wa M4C sio kila siku kuwatia watu wengine kwenye maafa na pengine wala hawaelewi nini maana halisi ya hiyo M4C.
Chama
Gongo la mboto DSM