OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
uhai wa mtu hauna bei.
wewe ulitakaje labda??
1. Nakubali kaka ila kuna implied cost ya kupoteza mtu na kumuhifadhi (kuzika) kwenye familia.....haiishii kutoa laki saba kwa kwenda kuzika na kurudi morogoro tuu......hakuwa na familia....as in mke na watoto??? Mjane??? na kadhalika.... simaanishi familia ilelewe na chama la hasha ila je huo mchango ndo mwisho wa kumuenzi marhum kwa aina ya kifo chake???
2. Sasa hao waliomnunua (kama ni kweli) wametoa mchango say wa 5M rationally ni lazima ndugu wachukue huko unless ni familia well established and conscious enough to weigh the social, psychological and political value ya kukaa upande mmoja.....but huyu alikuwa muuza magazeti and this tells a lot on family and class he belongs.....nadhani hili walitakiwa kuliona hao walioshughulikia hii kitu na kama hawakuliona then hii ndo cost yake
3. Jana kulitoka uzi hapa ukipendekeza mmoja kati ya bigfishes aende kuzika ili kuweka uzito na sound political impact....sijasikia hilo kufanyiwa kazi mkuu.....sasa hao waliomnunua huyo the so called shemeji wakituma a remarkable figure pia tutahitaji uzi.....au tutalalamika kuwa fulani kaacha ofisi ya umma kwa jambo la kisiasa????
Nasisitiza tena uhai hauna price tag.....and thus there is no compensation but there are ways in which one can sugar-coat the bitter truth...............na hivi ndivyo ambavyo ningeshauri mimi mkuu....
Halafu swali la wewe ulitakaje sio a good probing skill ni kama unataka mtu ashindwe ili status quo i-prevail....as mimi na wewe hatuwezi kuwa na matakwa katika hili jambo.......