Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Habari zilizonifikia hivi punde zinalonga ya kuwa wataalamu ndani ya Chadema wanaendelea kukusanya takwimu za mali ambazo CCM imelipora taifa hili masikini na chama hicho kongwe kuutumia mali dhalimu tajwa kama mtaji wa kuvifunika vyama vinginevyo vya siasa.
Baadhi ya mali ambazo zinazungumzwa kwa uchungu sana ni pamoja na fedha taslimu, majengo, miradi, viwanja vya mpira n.k
Haya yatakapofanyika usishangae kumsikia JK, Mkapa na Mzee Ruksha wamehamia Chadema wakitegemea kuna ulaji huko.
Yale yaliyowakuta Kanu huko Kenya wakajikuta hata KICC wamenyang'anywa sasa kukisibu CCM miezi sita tu baada ya Bunge kuupitisha muswada utakaoletwa bungeni na Waziri mtarajiwa wa Sheria na mambo ya kikatiba Bw. Lissu ambaye ushindi wa jimbo lake la uchaguzi sasa ni "foregone conclusion" yaani hakuna utata tena.........
Baadhi ya mali ambazo zinazungumzwa kwa uchungu sana ni pamoja na fedha taslimu, majengo, miradi, viwanja vya mpira n.k
Haya yatakapofanyika usishangae kumsikia JK, Mkapa na Mzee Ruksha wamehamia Chadema wakitegemea kuna ulaji huko.
Yale yaliyowakuta Kanu huko Kenya wakajikuta hata KICC wamenyang'anywa sasa kukisibu CCM miezi sita tu baada ya Bunge kuupitisha muswada utakaoletwa bungeni na Waziri mtarajiwa wa Sheria na mambo ya kikatiba Bw. Lissu ambaye ushindi wa jimbo lake la uchaguzi sasa ni "foregone conclusion" yaani hakuna utata tena.........