Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Mbona huyu Dr.Lwaitama amakuwa akiikosoa CDM maranyingi, na mara kadhaa akisema bado hakuna mbadala wa CCM. Ameandika magazetini na hata mitandao ya kijamii pia including JF. Leo hii kuongea kwenye jukwaa la wanahabari wenzake katika kupinga na kulaani mauaji ya kikatili ya mwanahabari Daudi Mwangosi ndiyo amekuwa CHADEMA?