MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Baada ya kifo cha mbunge wa Arumeru Mashariki Jeremia Sumari katika hali ambayo wananchi wa jimbo hilo hawakuitegemea serikali jimboni hapo wiki hii iliyokwisha wamekuwa bize kutengeneza barabara inayoanzia eneo la Sanksi karibu na soko Tengeru inayoelekea kijiji alichotoka marehemu.
Wananchi wanahoji ni kwa nn ichimbwe na kufanyiwa marekebisho baada ya msiba kutokea? Na mbaya zaidi imechimbwa na kurekebishwa hadi nyumbani kwa marehemu tu,"Je sisi wa milimani zaidi hatuna haki ya kufikiwa na hiyo barabara"?
Alihoji mwananchi mmoja akiwa anazungumza na wengine ndani ya daladala. Jambo hilo limeibua hasira na chuki kwa wananchi wengi hasa kipindi ukarabati huo ulivyofanyika na sehemu ulipoishia.
UNADHANI KWA HILI CCM INA NAFASI NZURI YA KULITETEA JIMBO HILO AMBALO MWAKA JUZI KTK UCHAGUZI MKUU LILIKUWA NA UPINZANI SANA KUTOKA KWA MGOMBEA WA CDM KIJANA NASSARI?
Wananchi wanahoji ni kwa nn ichimbwe na kufanyiwa marekebisho baada ya msiba kutokea? Na mbaya zaidi imechimbwa na kurekebishwa hadi nyumbani kwa marehemu tu,"Je sisi wa milimani zaidi hatuna haki ya kufikiwa na hiyo barabara"?
Alihoji mwananchi mmoja akiwa anazungumza na wengine ndani ya daladala. Jambo hilo limeibua hasira na chuki kwa wananchi wengi hasa kipindi ukarabati huo ulivyofanyika na sehemu ulipoishia.
UNADHANI KWA HILI CCM INA NAFASI NZURI YA KULITETEA JIMBO HILO AMBALO MWAKA JUZI KTK UCHAGUZI MKUU LILIKUWA NA UPINZANI SANA KUTOKA KWA MGOMBEA WA CDM KIJANA NASSARI?