Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Baada ya chadema kuja na operation Sangara kanda ya ziwa na kufanikiwa kumshona sangara kisha kumwacha aishi salama,CCM nayo inakuja na operation ndoano je,wanataka kumvua samaki ziwani ambaye ni chadema?Ziwani kuna miamba na tope watampata kweli? Yetu macho! Tangulini chuma kikafanyiwa operation?