KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Moja ya vitu vinavyo waumuza kichwa wapanga mikakati ya ushindi wa CCM ni kupoteza viti maalumu. Viti maalumu hutolewa kwa uwiano wa kura anazopata mgombea urais. Hivyo basi kama mgombea wa CCM (Kikwete) ataambulia 40% ya kura zote (hata viti maalumu atapewa hivyo hivyo) na inamaana kuwa asilimia 60% ya viti maalumu vitakwenda kwa wapinzani. Hivyo msishangae CCM wakihaha kutumia mabilioni kwa ajili ya kampeni, kubandika picha kila mtaa, kuongeza ratiba na helikopta kwa mgombea wao wa urais, kusomba watu kwa ajili ya mikutano ta kampeni, kumchafua Dr Slaa, na kutumia propaganda kuwa afya na elimu haviwezi kutolewa bure kwa kuwa pesa za kufanya hivyo hazipo. Kwa maana anguko kuu linawasubiri
Chadema tuendeleze mpambano. Hakuna kulala mpaka kieleweke
Chadema tuendeleze mpambano. Hakuna kulala mpaka kieleweke