CCM - Wagombea wenye 3yrs of age - A joke or wht??

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,170
Wakuu,

Chama kile kikongwe naona kiko desperate mpaka inachekesha.......... Jisomee hapa chini for details.


Mtoto wa Makalla kuwania Uenyekiti chipukizi

na Nasra Abdallah

MTOTO wa Mweka Hazina wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, Gabriel Makalla, amejitokeza kuwania nafasi ya uenyekiti wa chipukizi taifa ndani ya chama hicho kwa upande wa Tanzania Bara.
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Desemba 29 katika Chuo cha Ualimu Kigurunyembe mkoani Morogoro, ambapo nafasi hiyo wamejitokeza jumla ya wagombea tisa - watano kutoka Tanzania Bara na wanne Visiwani.
Akizungumza na waandishi wa habari jana katika Makao Makuu ya Ofisi za Umoja wa Vijana, Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Esther Bulaya, aliwataja wagombea wengine waliojitokeza na mikoa wanayotokea kwenye mabano kuwa ni Ally Mbaraka (Kagera), Asnail King (Dar es Salaam), Hayani Mkambuga (Kagera) na Paulina Lucas Kasonso (Mtwara).
Kwa upande wa Tanzania Visiwani waliojitokeza ni Abdallah Ali Abdallah, Harith Juma Mwinyi, Harith Mohamed Mohamed na Mohamed Gharib Mohamed, wote kutoka Mkoa wa Mjini Magharibi.
Kwa mujibu wa Bulaya, vigezo ambavyo vinazingatiwa katika kugombea nafasi hizo ni kwa mgombea kuwa na umri kati ya miaka mitatu hadi 13 na awe na kadi ya uanachama.
Aidha, alisema mbali na nafasi ya uenyekiti, nafasi nyingine zinazogombewa katika uchaguzi huo ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa atakayewakilisha chipukizi (nafasi mbili - moja Tanzania Bara nyingine Tanzania Visiwani).
Nafasi nyingine ni ya mjumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Taifa ambapo nafasi zinazogombewa ni tatu - mbili Tanzania Bara na moja Zanzibar, huku nafasi za wajumbe wa Kamati ya Uendeshaji Taifa ni tatu - moja kutoka Tanzania Bara na mbili Zanzibar. "Ni kawaida na taratibu za uongozi wa chipukizi kufanya uchaguzi mkuu kila baada ya miaka mitatu, ambapo mkutano huu ni wa tano tangu kuanzishwa kwa chipukizi. "Hata hivyo mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa chipukizi ngazi ya matawi, kata, wilaya, mikoa hadi taifa na katika ngazi ya matawi hadi mkoa tayari wamekwishakamilisha chaguzi hizo," alisema Bulaya.

source: freemedia.co.tz

My take:

1. Ina maana hao wanachama wa CCM tunaoaminishwa ni 4 million includes babies born in 2006???????


2. What is the significance ya kuwa na mwenyekiti wa chipukizi nchi nzima? What are their roles?

3. Hivi hii chipukizi iliffufuka lini? Na hizi taratitibu zilianza lini, enzi zile sikuwahi kusikia haya mambo.

4. Is this not indoctrination of babies into the green party??????
 
Sisiem wametuchoka...
Hivi ni vigezo gani vitatumika kumchagua mtoto wa miaka mitatu, je ni sera zake, je ni uwezo wake wa kuongea, au ni uzuri wa sura yake?
 
Wakuu,

Chama kile kikongwe naona kiko desperate mpaka inachekesha.......... Jisomee hapa chini for details.


Mtoto wa Makalla kuwania Uenyekiti chipukizi

na Nasra Abdallah

MTOTO wa Mweka Hazina wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, Gabriel Makalla, amejitokeza kuwania nafasi ya uenyekiti wa chipukizi taifa ndani ya chama hicho kwa upande wa Tanzania Bara.
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Desemba 29 katika Chuo cha Ualimu Kigurunyembe mkoani Morogoro, ambapo nafasi hiyo wamejitokeza jumla ya wagombea tisa - watano kutoka Tanzania Bara na wanne Visiwani.
Akizungumza na waandishi wa habari jana katika Makao Makuu ya Ofisi za Umoja wa Vijana, Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Esther Bulaya, aliwataja wagombea wengine waliojitokeza na mikoa wanayotokea kwenye mabano kuwa ni Ally Mbaraka (Kagera), Asnail King (Dar es Salaam), Hayani Mkambuga (Kagera) na Paulina Lucas Kasonso (Mtwara).
Kwa upande wa Tanzania Visiwani waliojitokeza ni Abdallah Ali Abdallah, Harith Juma Mwinyi, Harith Mohamed Mohamed na Mohamed Gharib Mohamed, wote kutoka Mkoa wa Mjini Magharibi.
Kwa mujibu wa Bulaya, vigezo ambavyo vinazingatiwa katika kugombea nafasi hizo ni kwa mgombea kuwa na umri kati ya miaka mitatu hadi 13 na awe na kadi ya uanachama.
Aidha, alisema mbali na nafasi ya uenyekiti, nafasi nyingine zinazogombewa katika uchaguzi huo ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa atakayewakilisha chipukizi (nafasi mbili - moja Tanzania Bara nyingine Tanzania Visiwani).
Nafasi nyingine ni ya mjumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Taifa ambapo nafasi zinazogombewa ni tatu - mbili Tanzania Bara na moja Zanzibar, huku nafasi za wajumbe wa Kamati ya Uendeshaji Taifa ni tatu - moja kutoka Tanzania Bara na mbili Zanzibar. “Ni kawaida na taratibu za uongozi wa chipukizi kufanya uchaguzi mkuu kila baada ya miaka mitatu, ambapo mkutano huu ni wa tano tangu kuanzishwa kwa chipukizi. “Hata hivyo mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa chipukizi ngazi ya matawi, kata, wilaya, mikoa hadi taifa na katika ngazi ya matawi hadi mkoa tayari wamekwishakamilisha chaguzi hizo,” alisema Bulaya.

source: freemedia.co.tz

My take:

1. Ina maana hao wanachama wa CCM tunaoaminishwa ni 4 million includes babies born in 2006???????


2. What is the significance ya kuwa na mwenyekiti wa chipukizi nchi nzima? What are their roles?

3. Hivi hii chipukizi iliffufuka lini? Na hizi taratitibu zilianza lini, enzi zile sikuwahi kusikia haya mambo.

4. Is this not indoctrination of babies into the green party??????


Ingawaji kuna uhuru wa kila kitu lakini sasa tukienda kwa watoto ama ndugu zetu wenye umri chini a 18 sasa tunakuwa tunakosea kabisa. Hawa watoto badala ya kukaa shule kusoma wanakuwa wanawaza CCM tu kwa sababu kutakuwa na mijitu hapo pembeni inayowaongoza nini cha kufanya kwa kuwa bado hawana uwezo wa kuchambua na kupambanua mambo yanayohusu vyama na siasa. Hii Chil-Labor ni illegal jameni.
 
Sisiem wametuchoka...
Hivi ni vigezo gani vitatumika kumchagua mtoto wa miaka mitatu, je ni sera zake, je ni uwezo wake wa kuongea, au ni uzuri wa sura yake?

Yaani mkuu inachosha kabisa, and these guys are serious. Na usijeshangaa ukaambiwa bilioni 2 zimetumika katika maandaliozi ya uchaguzi huo!
 
Hii ni abuse of human rights.

Ninaposema ni abuse of human rights, I really mean it. Nakumbuka nikiwa na miaka nane tulikuwa tunapigishwa gwaride pale uwanja wa golf Morogoro kwenye jua mpaka watoto wanaaguka. Personally nilishapata kizunguzungu lakini nikaa chini kabla ya kuanguka. Lakini makamanda walinijia juu wakidhani nimefeki.

Inakuwaje katika dunia ya leo wanawatumia watoto (under age) kuhakikisha kuwa wanaendelea kutawala?? Wanawapotezea muda wa shule na michezo inayowasaidia for their mental development na kuwafanyisha kazi za SISIM!!! Hii chipukizi nilifikiri ilikufa baada ya multparty kuingia kumbe wameiendeleza??
 
Hii ni abuse of human rights.

Ninaposema ni abuse of human rights, I really mean it. Nakumbuka nikiwa na miaka nane tulikuwa tunapigishwa gwaride pale uwanja wa golf Morogoro kwenye jua mpaka watoto wanaaguka. Personally nilishapata kizunguzungu lakini nikaa chini kabla ya kuanguka. Lakini makamanda walinijia juu wakidhani nimefeki.

Inakuwaje katika dunia ya leo wanawatumia watoto (under age) kuhakikisha kuwa wanaendelea kutawala?? Wanawapotezea muda wa shule na michezo inayowasaidia for their mental development na kuwafanyisha kazi za SISIM!!! Hii chipukizi nilifikiri ilikufa baada ya multparty kuingia kumbe wameiendeleza??

Me too mkuu, nilijua chipukizi imekufa............ And it seems hii chipukizi ya sasa si kama ile ya wakati ule, hii inaonekana ni ya kisirisiri na ajenda yake sijui kama inajulikana
 
Hiyo ni njia ya kurithisha uadui watoto.Inatumika sana isreal kumpa mtoto hali ya kujua mpalestina ni adui yake na hivyohivyo kwa wapalestina kutambua Israel ni adui zao.Mtoto kadri anavyokuwa tayari anakuwa na hamasa ya kujua mpinzani wake ni nani na afanye nini kumdhibiti.Nenda hata Cuba watoto wadogo wanafundishwa kujua adui yao ni Amerika.Hivyo hawa sisieeem wamechukua mfumo huo kuwarithisha watoto wao wajue kabisa kuwa kadri wanavyokuwa wapo wapinzani wao ktk siasa ambao ni wasio kuwa sisieeem.Kuhusu suala la watoto kutosoma hilo sahau kwakuwa watoto wote wanaogombea nafasi hizo ni wanaotoka katika migongo ya vigogo,yaani wote hao wanasomeshwa shule zinazoitwa za kimataifa,sasa wewe ndugu yangu iga mpeleke mtoto wako akagombee utaona hasara yake.
 
Hiyo ni njia ya kurithisha uadui watoto.Inatumika sana isreal kumpa mtoto hali ya kujua mpalestina ni adui yake na hivyohivyo kwa wapalestina kutambua Israel ni adui zao.Mtoto kadri anavyokuwa tayari anakuwa na hamasa ya kujua mpinzani wake ni nani na afanye nini kumdhibiti.Nenda hata Cuba watoto wadogo wanafundishwa kujua adui yao ni Amerika.Hivyo hawa sisieeem wamechukua mfumo huo kuwarithisha watoto wao wajue kabisa kuwa kadri wanavyokuwa wapo wapinzani wao ktk siasa ambao ni wasio kuwa sisieeem.Kuhusu suala la watoto kutosoma hilo sahau kwakuwa watoto wote wanaogombea nafasi hizo ni wanaotoka katika migongo ya vigogo,yaani wote hao wanasomeshwa shule zinazoitwa za kimataifa,sasa wewe ndugu yangu iga mpeleke mtoto wako akagombee utaona hasara yake.

Can this be justified in our society as of current???????? Well the Israelites and Palestinians indoctrinate kids for what they biliv is a national interest!!!!!!!!!

But this of CCM is for whose interest, how do we skew kids minds at such a young age?????
 
Can this be justified in our society as of current???????? Well the Israelites and Palestinians indoctrinate kids for what they biliv is a national interest!!!!!!!!!

But this of CCM is for whose interest, how do we skew kids minds at such a young age?????
Sisieem and Mafias are of the same nature!
 
hawapo sirius....... WE ARE GOING THROUGH A BAD PHRASE.... WE HAVE CHOOSEN THEM... inamaana sisi lazima tuwe pamoja ili tuwaamshe hawa...
 
Kinachotuumiza sana sisi ni hizi shortcuts; transforming from one party system to multiparty system without dismantling the old sole party and creating the new parties under same level ground.
 
Kinachotuumiza sana sisi ni hizi shortcuts; transforming from one party system to multiparty system without dismantling the old sole party and creating the new parties under same level ground.

yea mkuu, it is so funny and is like ccm wanaona the current system is ok as long as it works for them
 
Back
Top Bottom