CCM wagawa rushwa Vijibweni Kigamboni, Ridhiwani aongoza mashambulizi!

Huku baba yake anaomba msaada wazungu wa kupambana na rushwa!

FJM,
Sijawahi kushawishika hata moja kwamba Kikwete ana nia ya dhati ya kupambana na rushwa. Huo msaada anaoomba kwa wazungu utakuta kwa sehemu kubwa umelenga kujipatia fedha zaidi kuliko mafunzo na vitendea kazi.

Kama wananchi wamempelekea majina ya wala rushwa, vyombo mbalimbali kama CAG na kamati za bunge zinabaini rushwa kwenye miradi mbalimbali kama barabara, ndege ya raisi, rada, magari ya kijeshi pamoja na manunuzi mengine mengi lakini hakuna anayechukuliwa hatua, haitarajiwi kabisa kwamba mkuu wa kaya anaweza kupambana na rushwa tena wakati huu ambapo na mwanae amekuwa implicated kwenye matukio mengi ya rushwa.
 
Mwita tutatumia nguvu nyingi sana kuwazuia au kuwasema akina Ridhwan au CCM but it wont help

Tatizo ni kuwa je wananchi wanazipokea?? ndiyo, kwa nini?? kwa sababu ya maishaduni

Je wakizipokea wanapiga kura kama walivyoombwa??

Kinachoonekana hapa ni kutaka kuwafanya wananchi kama wabakwaji! na Ridhwan ni mbakaji!! which is not true here

Tutaposema kazi kubwa sana wapinzani wanayo ni KUELIMISHA WANANCHI, KUWAPA MOYONA MATUMAINI WANANCHI

Ridhwan is 'criminal' kets assume naturally yuko hivyo...wala hataona aibu yakusemwa au kuandikwa...ndivyo alivyo...tukikubaliana hapo kuwa KUMSEMA RIDHWANWONT HELP then our focus should be what do we have to do???jibu lake ni pana sana kuliko kupeana moyo

Mwita nakumbuka moja ya sababu za ndani za kuja na sera ya CDM ya nyumba tanotano ni kuwabana CCM kwenye issues kama hizi....ukiniambia mmefikia wapi kama CDM kutekeleza hili mtakuwa makini ......KAMA HALIFANYIKI we have to wake upand do something

Its enough now to talk about CCM its our time to do something extraordinary ...

did i tell u it can be done??

yes, it can be done

Ridhwan kwa sasa anashika nafasi ya kwanza kwa uwizi kuliko yeyote yule

1. mafuta machafu yanaingizwa kwa jina lake
2. anahusika ku-subbotage reli ya kati
3. anahusika kwenye manunuzi mabivu ya korosho
4. anahusika kujengana kununua mahoteli, kununua viwanja...all these are illegal deals
5. nimemshuhudia kwenye mradi wa gesi kutoka kusini ambapo yuko na baba yake...
6. anahusika kupanga matokeo ya mpira TFF!!!

What else, DARLIVE ni yeye ana kuna ugomvi na CRDB bank pale ambao wanaweza kuhamishwa kwa kibali cha waziri...n.k...n.k

sasa mtu wa aina hii hawezi kukoma hana chembe chembe ya uzalendo katu, DAWA YAHAWA NI KUJA NA COUNTER ATTACK kubwa which is not easy if we keep talking they keep stealing

in this case tatizo ni wananchi...ambao tunaweza tukawatetea lakini it wont help maana hata ukombozi utakuja kupitia wao!!



Bandiko bora kabisa kupata kushuhudia kutoka kwako mkuu wangu! Huu ndio ukweli halisi, tunapaswa kuchukua hatua zingine kwa vitendo tena haraka! hawa majina ya mafisadi wameshazoea na mbaya zaidi wananchi kama vile nao wamezoea ufisadi na haiwastui kama mwanzo!
 
TAKUKURU wameuchapa usingizi fofofo angekuwa dagaa hapo ungeona walivyo na kiherehere
 
Katika hali inayoonyesha kukata tamaa kabisa kwa ccm katika uchaguzi mdogo kata ya vijibweni Kigamboni, sasa wameamua kutumia silaha yao maarufu ya kila siku, ya kugawa rushwa kwa wapiga kura.

Ridhiwani Kikwete ambae ni mjumbe wa kamati ya uvccm taifa, amejichimbia kigamboni tangu mwanzoni mwa wiki hii akimfanyia kampeni mgombea wao na kuangalia upepo wa kisiasa ukoje.

Baada ya kugundua kwamba wananchi wengi hawawaungi mkono, wameanza kugawa rushwa ya fedha taslim kati ya sh.25,000 na 40,000 kwa wapiga kura wa vijibweni!
Taarifa hii ni ya uhakika toka kwa mwanachadema mmoja ambaye amekiri kukabidhiwa sh.25,000 ili ampigie kura mgombea wa ccm.

Uongo mwingine hauna hata kichwa wala miguu.

Mwenyewe ndio ujinaona umekuja na "breaking news" kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Duhh sasa hapa mambo mbona hayaeleweki kabisa. Kwanini rushwa kiasi hiki?

Wanakitafuta kiti cha udiwani kwa gharama yoyote. Katika uchaguzi mkuu wa 2010 alishinda mgombea wa cuf na kwa sababu ya madudu kadhaa waliyoyafanya hapo kabla wanahofia yatafichuliwa.

Inasemekana takriban sh.100 milioni imemwagwa vijibweni toka kwa wafadhili/wawekezaji fulani wenye biashara katika eneo la vijibweni.
 
Waberoya,
Nimekusoma mkuu, angalizo lako ni muhimu na ukweli mtupu.
Kinachonishangaza ni kitu kimoja tu, kwamba unayaelewa madhara ya kuendelea kuongozwa na ccm, unatambua umuhimu wa kuwa na chama mbadala!
Lakini bado hujawa tayari kiviunga mkono vyama vya upinzani ili viweze kuleta mabadiliko yanayohitajiwa na watanzania. Una mtazamo wa kuappreciate individual politicians badala ya political parties kama taasisi ambazo tunaweza kuzimould hadi zikayufikisha tunapotaka.

Mkuu siku zote nimekuwa nanyi na sitawaacha

Kikubwa ambacho huwa nakililia , kwanza kuhubiri na kuabudu ukweli daima hata katika vitu vya kichama

Kwa mfano, sera ya nyumba tano tano enzi hizo inawekwa mezani na chadema it was fantastic strategy ever

Ni sera ambayo unaweza kuona kuwa unaanzia wapi, unaenda wapi, uko wapi, kwa performance gani, na unaweza uka predict sehemu zenye ugumu na sizizo na ugumu. Unaweza kujua wapi mpeleke nguvu na wapi mpunguze.

Kusimamia maamuzi ya kichama kama haya ni indicator mojawapo kuwa hata CDM wakipewa serikali wataweza. Leo hii nikiuliza maswali hayo hapo juu , hutapata jibu!! why?? we are missing direction..na kila ukiona napiga dongo kwa CDM ni direction

CDM ina uwezo leo hii ikakaa chini, ikafanya prefeasibility studies, risk assessment, self evaluation and forecasting na mnaweza mkaja na report ya siri kuwa ni lini mtashika dola..This is very possible for any credible party

sasa mshawasha wa kushinda uchaguzi au ushabiki upo tu lakini kama chama inabidi muwe na mipango possible years kuwa ni lini mtashika dola CDM si chama kichanga 1992 ni mbali jamani, waliozaliwa kipindi hicho wanaoa na kuolewa bila kuvunja sheria ya nchi!

Mara nyingi attack zangu kwa CDM ziko so valid na huwa naziita challenge kwani huwa napenda tuone chadema kinakuwa na sustainable growing

wengi nimeona huwa wanachukulia kuwa na wabunge wengi i.e 23 ni maendeleo , si kweli kwani idadi hizo zimeishawahi kufikiwa na vyama vingine ambavyo vimekufa, na CCM wao walifanya ujinga kwenye kura za maoni na kusababisha ule ushindi, haya yanaelezeka

Kwa mfano ni vigumu sana na haingii akilini kuona kuwa chama kina wabunge 23 kati ya zaidi ya 250 yet we are claiming Slaa won on presidential election in 2010! sijui labda kuna something unusual

Lakini pia CDM ikaamua kushika dola leo hii , is so simple is just a matter of strategies...how, what are those?? should be secret

Kwa mfano ukimuuliza ordinary mwanachadema plan ya miezi sita ijayo, au miaka miwili ijayo ni ngumu kusema. Tumetawaliwa na matukio ya wakati huo, if we dont have strategy and vision basi itaenda hivi na in the next six years if nothing happens watu wanakata tamaa na kuanza kurudi nyuma, why?? kisaikolojia wanakuwa wako tayari na kihalisia inakuwa siyo hivyo. Chadema ifike wakati wa kubalance hali halisi na saikolojia za watu....tukifika hapa nchi yetu hii!!

kuna swala la katiba , its intention is okay but are we ready for the new constitution?? nilipiga kelele muda fulani kwa nini CDM isililie amendment ya tume tu, tukapoteza muda wetu na wakati wetu kulilia tume huru ya uchaguzi.Tume huru ya uchaguzi ikipatikana CCM chali!! believe me....why attracting the amendment of whole katiba? how long will it take?? how good will it be?? how this new katiba will give hope to other parties to reach magogoni??

wait, unajua 2015 CCM itajinadi sana kwa kubadili katiba?? ikifikia hapo nani atapewa credit Kikwete na CCM yake au CDM?? definitely CCM.......kwa hili tutasema nchi kwanza....tumefikia hatua CCM itoke kwanza mambo ya nchi baadaye please!!

je tunafikaje kwenye maamuzi yetu ndani ya CDM?? na kwa nini vingine huwa hatufikirii mbali sana ...this is what makes me sick and bleeding

yours truly

Waberoya
 
Back
Top Bottom