Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Sauti huru ni kama toilet paper mmliki wake ni fisadi na mfadhili wa ccm Subash Patel jk naye anakamkono hapo.
Salva Rweimamu kwa maelekezo ya JK amekuwa akilisuport, kunakainzi kangu kalinitonya wiki yote walikuwa na vikao vya mikakati ya arumeru na fungu likatolewa la kufanikisha fitna.
Huyu muhindi patel amewaweka waandishi Albert Kawogo na mwenzake wananjaa hao na kwakufanya fitina ni noma.
wamewawaka jamaa wawili kama wamiliki wananjaaa hao Alabert Kawogo na mwenzake
Huyu Patel ndiyo yule aliyekuwa akipambana na Mengi akamwejiri aliyekuwa mwandishi wa Deutsh Welle Christopher Buke kutayarisha makala za kumchafua Mengi halafu akamtupa kwenye dust bin kama toilet paper?