Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,879
- 2,369
Tukiwa njiani na Crashwise kuelekea katika mkutano wa kampeni wa CDM katika kijiji cha Shambalai (Mbuguni), Gari yetu ilipata mushkeri ktk kijiji cha Maweni. wakati tunasuburi msaada tukapata nafasi ya kuzungumza na baadhi ya wenyeji wa kijiji cha Maweni.
Tumekutana na vijana wenye mwamko mkubwa wa mabadiliko, lakini pia kina mama wamekiri kupewa kanga na fedha na CCM, lakini wameapa kutowapa kura CCM.
Viongozi wa CDM mtakapoenda kufanya mkutano Maweni, vijana wanahitaji bendera za CDM,, pelekeni bendera kwa wingi pale.
Tumekutana na vijana wenye mwamko mkubwa wa mabadiliko, lakini pia kina mama wamekiri kupewa kanga na fedha na CCM, lakini wameapa kutowapa kura CCM.
Viongozi wa CDM mtakapoenda kufanya mkutano Maweni, vijana wanahitaji bendera za CDM,, pelekeni bendera kwa wingi pale.