Elections 2010 CCM waanza rasmi?

Mhhh Mkuu,

Leo nimechungulia magazeti karibia yote ila sijaona hiyo cover. Labda wauzaji wameitupa kwa sababu wanajua kiu ya wasomaji. Kama imetupwa basi CCM wajue kuwa imekula kwao.

Waendelee na EPA zao ila wananchi wanajua chaguo lao!!


...wakuu nimesoma magazeti yote ya leo ...infact nimenunua mwenyewe...lakini sijaona hiyo kitu....well inaonekana mpango wa salva rweyemamu na muhingo rweyemamu...ulikuwa ni kujaribu kufunika lead page ya magazeti yote ya leo ambayo definatelly ni CHADEMA.....Lakini kiukweli ni kuwa that is very miscalculated marketing break through........kwani that 8 million was paid to the media houses owners ....walisahau kuwa wauza magazeti wa barabarani hawafaidiki ...hapo na wao kula yao ipo kwenye kuuza magazeti mengi...kwa vyovyote ....psychologically wananchi walikuwa wamejiandaa kuona magazeti yataandika nini kuhusu kufana kwa mkutano wa chadema na kuhusu TBC.......so mabadiliko yoyote ya headings au headings kufunikwa yangesababisha magazeti yasiuze kabisa.......so ni uamuzi ambao kisomi unatabirika kuwa lazima ...wauza magazeti wangeyafunua hayo matangazo ya ccm ili waweze kuuza magazeti haraaka haraka....na labda wauzaji wajanja hasa wa pembezoni baada ya kumaliza kuuza watauza matangazo ya CCM waliyoyatoa kwa shilingi 100 hasa kwa wananchi ambao wangekuwa na shauku ya kusoma kuhusu CCM......

Tatizo la marketing campagne yeyote yenye pesa nyingi.....ni kupunguza reasoning ability .....kwani hakuna budget constraits ya kuchochea fikra zaidi....angalieni hata makampuni ya simu ...huwa yana marketing technics nzuri ...lakini mara nyingine wanakuja na big time time and money waste..ideas ambazo hazina impact kabisa......

.....sasa hivi mjini mabango yote yana picha za kikwete .....sasa sijui kwa nini wanafuja pesa namna hii wakati ni wazi kuwa uwezo wa kushinda bila kutumia pesa nyingi kwa kuuza sera tu....upo......CCM are usin a lot of money ...hadi inatisha sijui ni kwa nini...ningeelewa kama kikwete angekuwa anagombea kwa mara ya kwanza....lakini he is running for the second time ..hayo mamilioni yao bora wangeyaweka wayatumie 2015 kwani ni wazi wakati huo watakuwa wanakabiliwa na upinzani mkali kuliko sasa....na ni wazi ..ccm nayo itakuwa hoi kwenye umoja wake kama chama.....
 
Hayo magazeti ambayo hayajapewa huo mshiko ni vijarida vidogo ambavyo mafisadi papa na nyangumi wameona hayana ushawishi kwa wananchi,Tz daima ni la kaskazini na Mwananchi ni la wakenya ambao wenyewe siasa za uvumiliano zimewashinda!

hivi kuna gazeti tanzania linauza kama mwananchi....marketing expert yeyote atakaye ignore nguvu ya mwananchi atakuwa sooo biased......kuinyima Tanzania Daima inaeleweka...lakini sio mwananchi....katika magaeti yaliyopewa huo mshiko ..NIPASHE ndio yenye crculation nzuri ....mengine..kama mtanzani,na majira ...hayana circulation nzuri .......labda pia wanaweza kutumia na ya udaku...kwani kuna watanzania ambao .... hawapendi magazeti ya kufikirusha na wako wengi...hao!!...lakini kuna negativity ya kutumia hayo pia.........
 
Kama hiyo pesa ni safi na ya halali, kwa nini walipe cash?!. Cash payment is the best way of money laundering.
 
".....sasa hivi mjini mabango yote yana picha za kikwete .....sasa sijui kwa nini wanafuja pesa namna hii wakati ni wazi kuwa uwezo wa kushinda bila kutumia pesa nyingi kwa kuuza sera tu....upo......CCM are usin a lot of money ...hadi inatisha sijui ni kwa nini...ningeelewa kama kikwete angekuwa anagombea kwa mara ya kwanza....lakini he is running for the second time ..hayo mamilioni yao bora wangeyaweka wayatumie 2015 kwani ni wazi wakati huo watakuwa wanakabiliwa na upinzani mkali kuliko sasa....na ni wazi ..ccm nayo itakuwa hoi kwenye umoja wake kama chama....."

Mkuu PM
Ukiona matumizi ya pesa kwa ukubwa huu, ujue hali si nzuri huko ndani. Hizi ni symptoms.
 
".....sasa hivi mjini mabango yote yana picha za kikwete .....sasa sijui kwa nini wanafuja pesa namna hii wakati ni wazi kuwa uwezo wa kushinda bila kutumia pesa nyingi kwa kuuza sera tu....upo......CCM are usin a lot of money ...hadi inatisha sijui ni kwa nini...ningeelewa kama kikwete angekuwa anagombea kwa mara ya kwanza....lakini he is running for the second time ..hayo mamilioni yao bora wangeyaweka wayatumie 2015 kwani ni wazi wakati huo watakuwa wanakabiliwa na upinzani mkali kuliko sasa....na ni wazi ..ccm nayo itakuwa hoi kwenye umoja wake kama chama....."
Mkuu PM
Ukiona matumizi ya pesa kwa ukubwa huu, ujue hali si nzuri huko ndani. Hizi ni symptoms
That is true na pia ni njia ya 'hangers-on' wa CCM kufuja pesa.. I really wonder who is doing the media buying and marketing ya CCM... kama kuna mtu mwenye taarifa hizi atuwekee hapa alafu tutaweza kupima na kuchambua mada hii zaidi...
.
 
That is true na pia ni njia ya 'hangers-on' wa CCM kufuja pesa.. I really wonder who is doing the media buying and marketing ya CCM... kama kuna mtu mwenye taarifa hizi atuwekee hapa alafu tutaweza kupima na kuchambua mada hii zaidi...
.

This is very important!

Na hao TAKUKURU wanafikiri kazi zao ni nini?
 
Nashangazwa sana na Negative Campaigning ya habari Leo gazeti linaloendeshwa na walipa kodi. Ilifaa wawe neural na kutoa habari ambazo haziko biased. Lakini kila siku wamekuwa wako negative. Leo wamereport "Hotuba Zatawaliwa na Matusi, TBC yakatisha Matangazo". Tulioangalia jana hatukusikia matusi zaidi ya watu kutoa data na kuwa tayari kufikishwa mahakamani. Sasa haya matusi yalitoka wapi?

Au ni JK, RA na EL na BM walopoguswa?
 
That is true na pia ni njia ya 'hangers-on' wa CCM kufuja pesa.. I really wonder who is doing the media buying and marketing ya CCM... kama kuna mtu mwenye taarifa hizi atuwekee hapa alafu tutaweza kupima na kuchambua mada hii zaidi...
.

salva rweyemamu is controlling behind the scene...but at the centre is his man Muhingo Rweyemamu........all are Rostam guys...Muhingo under rostam payroll and directives ndie pia aliyekuwa aki control....PR ya dr gharib bilal.........

!
 
This is very important!

Na hao TAKUKURU wanafikiri kazi zao ni nini?

hao TAKUKURU nao wapo sided .....ni kama mbwa ambaye huwa han"gati wana familia .....zaidi atangata strangers.........mbona invoice za dhamani ya dola milioni 2 za kuchapisha picha tu ..ambazo hata hapa Tanzania makampuni kama printpak,jaamana printer,mordern print na wengine wangeweza kuchapisha ...lakini IKULU imelipa dola milioni 2 kununua picha za A3 .....nje ya nchi....

kama kweli si wizi ni nini...na tangu lini pesa za IKULU /hazina kisheria zikaruhusiwa kugharamia uchaguzi wa chama.......hivi hao wafadhili wanajuwa kweli.....na wananchi wanaona kodi zao zinavyotumika!!
 
hao TAKUKURU nao wapo sided .....ni kama mbwa ambaye huwa han"gati wana familia .....zaidi atangata strangers.........mbona invoice za dhamani ya dola milioni 2 za kuchapisha picha tu ..ambazo hata hapa Tanzania makampuni kama printpak,jaamana printer,mordern print na wengine wangeweza kuchapisha ...lakini IKULU imelipa dola milioni 2 kununua picha za A3 .....nje ya nchi....

kama kweli si wizi ni nini...na tangu lini pesa za IKULU /hazina kisheria zikaruhusiwa kugharamia uchaguzi wa chama.......hivi hao wafadhili wanajuwa kweli.....na wananchi wanaona kodi zao zinavyotumika!!
Mkuu hii habari imenipita kidogo.. pesa za ikulu zimechapisha mabango ya uchaguzi? Kama ni hivyo basi ni muhimu kwa vyama vingne kuvipigia kelele na kupeleka pingamizi kwa msajili wa vyama, NEC na Takukuru...
Back to marketing etc... unajua katika kampeni kuna pesa nyingi (kama siyo) yote inayoenda marketing and PR .. sasa akina Salva wana ujuzi gani wa kitaaluma kufanya kazi hii? Maana naona kama vile wana-copy n paste vitu kutoka nje etc lakini hawana mikakati. Ila hakuna haja ya kuwafaidisha hapa.. their loss is our gain! I hope they waste a lot of money!
 
...wakuu nimesoma magazeti yote ya leo ...infact nimenunua mwenyewe...lakini sijaona hiyo kitu....well inaonekana mpango wa salva rweyemamu na muhingo rweyemamu...ulikuwa ni kujaribu kufunika lead page ya magazeti yote ya leo ambayo definatelly ni CHADEMA.....Lakini kiukweli ni kuwa that is very miscalculated marketing break through........kwani that 8 million was paid to the media houses owners ....walisahau kuwa wauza magazeti wa barabarani hawafaidiki ...hapo na wao kula yao ipo kwenye kuuza magazeti mengi...kwa vyovyote ....psychologically wananchi walikuwa wamejiandaa kuona magazeti yataandika nini kuhusu kufana kwa mkutano wa chadema na kuhusu TBC.......so mabadiliko yoyote ya headings au headings kufunikwa yangesababisha magazeti yasiuze kabisa.......so ni uamuzi ambao kisomi unatabirika kuwa lazima ...wauza magazeti wangeyafunua hayo matangazo ya ccm ili waweze kuuza magazeti haraaka haraka....na labda wauzaji wajanja hasa wa pembezoni baada ya kumaliza kuuza watauza matangazo ya CCM waliyoyatoa kwa shilingi 100 hasa kwa wananchi ambao wangekuwa na shauku ya kusoma kuhusu CCM......

Tatizo la marketing campagne yeyote yenye pesa nyingi.....ni kupunguza reasoning ability .....kwani hakuna budget constraits ya kuchochea fikra zaidi....angalieni hata makampuni ya simu ...huwa yana marketing technics nzuri ...lakini mara nyingine wanakuja na big time time and money waste..ideas ambazo hazina impact kabisa......

.....sasa hivi mjini mabango yote yana picha za kikwete .....sasa sijui kwa nini wanafuja pesa namna hii wakati ni wazi kuwa uwezo wa kushinda bila kutumia pesa nyingi kwa kuuza sera tu....upo......CCM are usin a lot of money ...hadi inatisha sijui ni kwa nini...ningeelewa kama kikwete angekuwa anagombea kwa mara ya kwanza....lakini he is running for the second time ..hayo mamilioni yao bora wangeyaweka wayatumie 2015 kwani ni wazi wakati huo watakuwa wanakabiliwa na upinzani mkali kuliko sasa....na ni wazi ..ccm nayo itakuwa hoi kwenye umoja wake kama chama.....
Hapo kwenye nyekundu ninaomba kutofautiana na wewe. Bajeti ya ccm uchaguzi huu ni bilioni 50,uchaguzi 2015 hata kama wanataka bilioni 70 watapa kwa sababu wana wachangiaji wako tayari kuchangia kwa maslahi yao.

Kwa nini ccm inaitaji pesa nyingi kuomba ridhaa kwa wananchi -ambao wako kwenye mazingira ya umaskini wa kutupwa- kuendelea kutawala? Kama kweli wanawajali wananchi kama wanavyosema kwa nini wasingetengeneza bajeti ya bilioni 10 na kupeleka bilioni 40 kwenye kusaidia kama ya watoto yatima.
ccm kuchangisha bilioni 50 ingetakiwa iwe na negative impact kwa wananchi ambao watoto wao wanakaa chini au hospitali iko kilomita 10 away lakini nina wasiwasi kama wananchi wataliona hilo
Upinzani mkali 2015 unategemeana na matokeo ya uchaguzi huu.
 
yaani leo nilipofika asubuhi kununua magazeti na kukuta hayo madud ya ccm
nilinunua gazeti langu la mwanachi pekee

ccm washenzi sana na vyombo vya habari ni vilivyokubali kuchukua pesa ya ccm ni wapuuzi sana
 
IMG_2667.jpg

kwa hisani ya 'Globu Ya Jamii' ikiwaletea taswira za kampeni za CCM 2010 mjini Sumbawanga
 
2w2ph5k.jpg


oqy8h0.jpg


Jana vyombo vya habari (hasa magazeti) vimepewa 'in CASH' shilingi za kitanzania Million 8 kila moja kuweza kuyavalisha magazeti yao covers kama inavyoonekana kwenye magazeti niliyoambatanisha juu hapo kwa matoleo ya Jumapili (leo).

Ni magazeti mawili tu, Mwananchi na Tanzania Daima ambayo hayakuweza kuupata mgawo huu toka CCM (ni cash na si cheque) nadhani tokana na kuona aidha yana mrengo tofauti (Tanzania Daima), au yako kinyume na matakwa yao (Mwananchi).

BAHATI MBAYA wauzaji wa magazeti walio wengi jijini Dar es Salaam hawajapendezwa na hili wengi wameondoa hii cover kwa magazeti mengi.

Magazeti yanayotoka kila siku yote yamepewa mgawo huu isipokuwa mawili niliyoyataja.

Ni wapi tunaelekea?

Hakuna kitu zaidi ya kuwa hao jamaa ni makanjanja na vibaraka tu!
 
Mkuu, binafsi siwalaumu CCM... Hata chembe, wamepata opportunity na wameitumia. Sasa, wenye matatizo (njaa?) nadhani ni wenye magazeti kuruhusu gazeti kuwa covered na tangazo kwa tamaa ya fedha.

That's my concern

mkuu huu ni uhuni tena wa mchana! Kwa staili hiyo inamaana habari za vyama vya upinzani (chadema,cuf,nccr, nk) zingekuwa zinapatikana ndani ya cover la sisiem! Sasa watu watajuaje habari zilizomo! Yesu na maria Kweli mwaka huu kuna mambo! Nimeiona katuni ya tz daima leo ccm wamecover kila sehemu kuanzia kwenye tv, simu, ukutani hadi ardhini wa upinzani wanauliza sisi tubandike wapi? Ccm inajibu "dogo utabandika hewani!" Duh! Kweli kabisaa hewani ndio kuliko baki!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom