Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Jana vyombo vya habari (hasa magazeti) vimepewa 'in CASH' shilingi za kitanzania Million 8 kila moja kuweza kuyavalisha magazeti yao covers kama inavyoonekana kwenye magazeti niliyoambatanisha juu hapo kwa matoleo ya Jumapili (leo).
Ni magazeti mawili tu, Mwananchi na Tanzania Daima ambayo hayakuweza kuupata mgawo huu toka CCM (ni cash na si cheque) nadhani tokana na kuona aidha yana mrengo tofauti (Tanzania Daima), au yako kinyume na matakwa yao (Mwananchi).
BAHATI MBAYA wauzaji wa magazeti walio wengi jijini Dar es Salaam hawajapendezwa na hili wengi wameondoa hii cover kwa magazeti mengi.
Magazeti yanayotoka kila siku yote yamepewa mgawo huu isipokuwa mawili niliyoyataja.
Ni wapi tunaelekea?