CCM waanza? Magamba yaanzia kwa dagaa

Ni hatari iliyoje!

Kama unataka kwenda Zanzibar na upo DSM kwanini upitie Pangani tanga ilihali DSM ndo njia ya moja kwa moja. Tuacheni unafiki, kuwatoa kafara wanyonge na kuwaacha walengwa wakubwa ni tatizo.Kuwapa watuhumiwa kujivua gamba nalo ni kosa.kupishana maneno miongoni mwa huku maamuzi yalikwisha tolewa ni kosa. Na kitendo cha mwenyekiti kushindwa usimamia maamuzi ya kikao nalo ni kosa kubwa.

Kama kweli Ng'enda ametenda kosa hilo wangeanza na m/kiti kwa kushundwa kusimamia maamuzi na maazimio ya kikao. Kulindana huku ndo kunachangia uwizi na kupungua uadilifu wa viongozi ndani ya sirikali. Kama kweli walikuwa na maazimio ya kuvuana gamba kusingekuwa na usiri na mizengwe maamuzi magumu yangeheshimiwa na hatua kuchukuliwa.
 
Katibu wa CCM Mkoa wa Dare es salaam Kilumbe Ng'enda amevuliwa wadhifa huo kwa utovu wa nidhamu, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amewaambia waandishi wa habari mjini Dodoma kuwa uamuzi huo ni wa NEC baada ya kumjadili na kuona kuwa amekiuka maadili ya Chama wakati wa uteuzi wa Madiwani viti maalum mkoa wa Dar es salaam. Mkutano bado unaendelea na mara tutakapopata taarifa zaidi tutawamuvuzishia kupitia hapahapa

Note: mkutano huu uliopita wa cc na NEC Nape kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kuwaburuza maadui sake wa kisiasa ndani ya chama......hasa umoja wa vijana na Huyu katibu wa chama mkoa wa dar......ambao Kwan wale watu wanaofanya kazi pale Lumumba wanajuwa uadui wa Hawa watu wawili....Nape hakupata kumsamehe Kilumbe kwa kumtukana na kumuita mwana haramu na kashfa Nyingine .......
Ni wazi waliokuwa ndani ya mkutano wanajuwa fitna dhidi ya Kilumbe zilivyofanikishwa....


Kwa upande wa Uvccm ni NApe aliyeanzisha hoja chokozi ndani ya CC....alisema eti ...vijana wametapakaa mjini na anataka kupewa jibu na CC ..Kama imewaita ,au kuna mkutano wa uvccm...au kuna agenda gani.......Kama watu waliokuwa wamejipanga ...mwenyekiti Alipokea hoja ya Nape.....na kumkalia Kooni mwenyekiti wa uvccm akisaidiana na Wasira na Lukuvi...na akawaambia vijana .."Kama mnataka kwenda Chadema nendeni hata kesho"

Kama member mwenzetu.....lazima tukubali na kumvulia kofia Nape ...safari hii ....amewakanyaga kanyaga maadui zake kisiasa chamani.....Kama haitakuwa matumizi ya condom ya Jk...basi atakuwa anaijuwa fitna(siasa)
 
Kilumbe Ng'enda amevuliwa Ukatibu wa Mkoa wa Dar es Salaam (CCM) kwa kosa la kutenda maamuzi binafsi kinyume na maamuzi ya vikao halali vya chama.

Taarifa tulizo nazo zinazidi kueleza kuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar naye yupo kwenye hatihati. Nyeti nyingine zinadai kuwa kutokana na EL kujaza watu wake Dodoma ili wafanye fujo basi huenda yeye na Chenge wakaachwa na maamuzi yakatolewa ghafla baada ya mkutano huko Dodoma.

Nape kasema nafasi hiyo imeondolewa mikononi mwa Ng'enda na atapangiwa nafasi nyingine (wanaendelea kubebana???)
.......anayemnyoshea kidole Lowassa aangalie vingapi vinamwelekea yeye! hamna mtu ndani ya ccm, hamna, nasema hamna, awe mwenyekiti au ndege wake! jipangeni upya, kila la heri kama bado mna safari ya magamba, gangeni yajayo, achaneni na magamba, yatawacost
 
...kumbe Idd Azani ni kiboko eeeh. Viva Idd Azzan,tumeona kazi yako kaka!!
 
Kuna mtu anaweza kunieleza Rais anafanya nini Dodoma? Tangu weekend iliyopita Rais wa nchi Waziri mkuu na mawaziri wengine wamepiga kambi Dodoma leo tunaambiwa wamefikia uamuzi wa kumvua wadhifa katibu wa ccm mkoa wa Dar es Salaam!

Matatizo yote yanayoikabili hii nchi wameona sababu ni huyu katibu wa ccm mkoa wa Dar? Wachina na wamarekani wamezagaa kila kona wanavuna wao wanamjadili katibu wa chama wa mkoa mmoja tu! Report ya kamati ya bunge imetoka, siku nne na ushee sasa bado Luhanjo yuko kazini, hatujasikia tangazo lolote kuhusu Jairo, wakuu wa nchi wanaona priority ni katibu wa ccm mkoa Dar!

Nadhani kwenye hii katiba mpya iandikwe (tena bold letters) rais wa nchi asiruhusiwe kushikilia wadhiwa wa uenyekiti wa chama kwa pamoja. Ama awe rais, au mwenyekiti wa chama chake. Lakini sio vyote kwa pamoja. Huu ni utaratibu mbovu kabisa.
 
Kuondoka kwa kiumbe kilumbe ng'enda, iddi azan presha imeshuka, maana waliendeshana!
 
What we need in Tanzania is parties with firm political structure ,clearly defined views and stand not group of political LovePeddlers(which is what we presently have on ground).

Sijui ni kwa nini CCM wanashindwa kutoa maamuzi sahihi bila kupendelea upande wowote at the same time wanaadhimisha miaka zaidi ya 34 tangu chama hicho kizaliwe.

Presently, Chadema seems to be the only prepared and ready to rule as political party with a determined and tested patriot who can lead the people in the nation building of a New Tanzania in the leadership of Africa among other nations in the 21st century.

My young bro CCM nyuma kaburi mbele kiza...There is no way they can escape from this well calculated move watch and see...You better be prepared in ur party kwani kwenye macho yangu ya ndani naona kuna ka uwezekano ka watu fulani ndani ya CCM kuwa outsmart na kuchukua nafasi mliyopewa bure kwasababu ya kusita sita kwenu na kutokujiamini....

PM thanks for proving my hypothesis huu ulikuwa mtihani wangu wa PhD ya unabii ambapo proposal niliidefend three years ago; nadhani degree yangu karibu naiweka mkononi bado niko kwenye mwaka wa mwisho kabisaa na imebaki defence tu! I said hii ngoma hakuna wakuipangua iko well articulated kiasi kwamba hata wasiojua kuwa wako vitani wamekamata silaha ndogo ndogo na wako wamemweka adui (Ufisadi) katikati. Niliwasaidia na theory lakini inaonekana luga nayo iongea ina very high pitch kiasi kwamba wengi wanasikia kelele tu they can not perceive what I mean.

There is no way fisadi yeyote atakatiza hii ni tsunami mathematics hapo hakuna forumula itakubali nimesimama kabisa na miguu yangu yote grounded kwamba hakuna mvua kunyesha mpaka kwa neno langu kama Elija aliweza who am I to fail to do the same? Hapa anayeweza kupambana na mimi katika haya ni the opposite way ni labda Yahaya na wale wenye weak powers like him ambao nyote nimashahidi these days nimetoboa macho yake na kung'oa antena zake zote anaona chenga chenga tu kwenye tv zake zote na watazamaji wake wanamuuliza mzee vipi mbona picha imekataa kucheza?

Mbaya zaidi nimesha mwaga na petrol kwenye nyumba yao hapo sasa mwenye kuweza kuchomoka kupitia madirisha yenye gril ajaribu kama siyo wote wataangamia kwakukanyagana wakigombea kutokea mlango ambao ndiko petrol ilikoanza kuwashwa. I belong to neither camp ila ile inayopinga ufisadi kwa nguvu zao zote akili yao yote na kwa mioyo yao yote. And by this Taifa litaanza upya baada ya michanganyo mingi and come up with a gud governance ambayo haijalishi is from which party! Ningekuwa mimi ndiyo ninyi ningejiuunga kuimba praises and worship songs ili Alfa na Omega bwana wa vita amalizie kazi aliyoianza; Glory and honour be to our God the almighty whom I am not ashamed to be called his Prince. This is the word from your gospel preacher!
 
fJM....yeah imeonekana wasirudi mikono mitupu.....kwa hiyo Huyu katibu wa chama imebidi abebe Msalaba ili kazi ionekane imefanyika.......NDIO GAMBA HILO!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ndio maana katiba yetu inahitaji marekebisho makubwa! lazima shughuli za chama zitenganishwe na zile za serikali! Serikali nzima ipo dodoma matunda ya majadiliano yao ni kuvuliwa wadhifa katibu wa CCM mkoa wa Dsm! kwa kuwa CCM ni chama tawala tulidhani kitazungumzia matatizo yanayowakera Watz kama katiba, umeme, kushuka kwa sh. ya Tz,kupanda kwa gharama za maisha, huduma za jamii n.k! Tunahitaji ufumbuzi wa matatizo yetu zaidi.
 
huyu katibu ameuza kiwanja chetu cha ccm huku charambe jamani, tunaomba asiishie kufukuzwa tu, apelekwe mahakamani pia!
 
Kwani kilumbe kaenda wapi? Si mmeambiwa atapangiwa mzigo mwingine? CCM haikuachi ila unaweweza kuiacha. U just ask JKN, and da so called RA. Wanajua hilo.
 
Kuna mtu anaweza kunieleza Rais anafanya nini Dodoma? Tangu weekend iliyopita Rais wa nchi Waziri mkuu na mawaziri wengine wamepiga kambi Dodoma leo tunaambiwa wamefikia uamuzi wa kumvua wadhifa katibu wa ccm mkoa wa Dar es Salaam!

Matatizo yote yanayoikabili hii nchi wameona sababu ni huyu katibu wa ccm mkoa wa Dar? Wachina na wamarekani wamezagaa kila kona wanavuna wao wanamjadili katibu wa chama wa mkoa mmoja tu! Report ya kamati ya bunge imetoka, siku nne na ushee sasa bado Luhanjo yuko kazini, hatujasikia tangazo lolote kuhusu Jairo, wakuu wa nchi wanaona priority ni katibu wa ccm mkoa Dar!

Nadhani kwenye hii katiba mpya iandikwe (tena bold letters) rais wa nchi asiruhusiwe kushikilia wadhiwa wa uenyekiti wa chama kwa pamoja. Ama awe rais, au mwenyekiti wa chama chake. Lakini sio vyote kwa pamoja. Huu ni utaratibu mbovu kabisa.

Ujumbe wako umekamilika...lakini magamba hawana vision ndugu yangu...! wangesoma humu wangeona japo aibu kurudi dar...lakini EL kiboko, kawatuliza mzuka nape and company.
 
Ishara zilianza kuonekana pale huyo mwenezi alipoanza kubali kauli zake za awali, hatimaye kilichotoka ndicho hicho
 
What we need in Tanzania is parties with firm political structure ,clearly defined views and stand not group of political LovePeddlers(which is what we presently have on ground).

Sijui ni kwa nini CCM wanashindwa kutoa maamuzi sahihi bila kupendelea upande wowote at the same time wanaadhimisha miaka zaidi ya 34 tangu chama hicho kizaliwe.

Presently, Chadema seems to be the only prepared and ready to rule as political party with a determined and tested patriot who can lead the people in the nation building of a New Tanzania in the leadership of Africa among other nations in the 21st century.

We mbona unaongea kama umeishia darasa la pili.
Kila aliyefika angalau darasa la tano anajua kuwa anaposema kitu lazima atoe sababu.
Jaribu kusoma tena ulichoandika mwenyewe utagundua kuwa hata wewe mwenyewe unapata shida kukubaliana nacho!
 
Katibu wa CCM Mkoa wa Dare es salaam Kilumbe Ng'enda amevuliwa wadhifa huo kwa utovu wa nidhamu, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amewaambia waandishi wa habari mjini Dodoma kuwa uamuzi huo ni wa NEC baada ya kumjadili na kuona kuwa amekiuka maadili ya Chama wakati wa uteuzi wa Madiwani viti maalum mkoa wa Dar es salaam. Mkutano bado unaendelea na mara tutakapopata taarifa zaidi tutawamuvuzishia kupitia hapahapa

Note: mkutano huu uliopita wa cc na NEC Nape kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kuwaburuza maadui sake wa kisiasa ndani ya chama......hasa umoja wa vijana na Huyu katibu wa chama mkoa wa dar......ambao Kwan wale watu wanaofanya kazi pale Lumumba wanajuwa uadui wa Hawa watu wawili....Nape hakupata kumsamehe Kilumbe kwa kumtukana na kumuita mwana haramu na kashfa Nyingine .......
Ni wazi waliokuwa ndani ya mkutano wanajuwa fitna dhidi ya Kilumbe zilivyofanikishwa....


Kwa upande wa Uvccm ni NApe aliyeanzisha hoja chokozi ndani ya CC....alisema eti ...vijana wametapakaa mjini na anataka kupewa jibu na CC ..Kama imewaita ,au kuna mkutano wa uvccm...au kuna agenda gani.......Kama watu waliokuwa wamejipanga ...mwenyekiti Alipokea hoja ya Nape.....na kumkalia Kooni mwenyekiti wa uvccm akisaidiana na Wasira na Lukuvi...na akawaambia vijana .."Kama mnataka kwenda Chadema nendeni hata kesho"

Kama member mwenzetu.....lazima tukubali na kumvulia kofia Nape ...safari hii ....amewakanyaga kanyaga maadui zake kisiasa chamani.....Kama haitakuwa matumizi ya condom ya Jk...basi atakuwa anaijuwa fitna(siasa)

Nape ni mtu hatari, CCm wawe macho na mtu huyu.
 
Kuna katibu mkuu wa chama fulani alimfukuza katibu wa wilaya au mkoa, sikumbuki. Alimfukuza kupitia mkutano wa hadhara. Dah! hii domokrasia yetu bwana.

Naanza kukusaidia we usiyejua CHADEMA Dr. W.P. Slaa, Ni wa Mkoa-IRINGA sikwamba hukumbuki,ila hujui kabisa.Demokrasia kwako unaruhusu uhuni kama magamba sio?Anaitwa Kapwani sawa.Huyu alihongwa na Lukuvi Ismani ajitoe ili Lukuvi awe amepita bila kupingwa.Sasa Kamati ya Siasa CDM mkoa ikatafakari ikafikisha kamati kuu taarifa Taifa,wakakaa,wakamuita akagwaya(Kumbuka ilikuwa agombee Ismani,kwa jeuri akakataa kwenda kuitika),akaanza kumvurugia Msigwa Tauni,akawaa anajidai kumpigia wa NCCR Mama Mwakingwe,hali mtu mwenyewe naye alikuwa anamsaidia wa Magamba(Huyu unamjua).Ulitaka Dr. Slaa aendelee kusubiri kumvua gamba kama anavyosubiri JK sio?No room for uhuni CDM,once court,u'll be fired on the spot!!Sasa Kilumbe Ng'enda Kambi ya Mamvi alichemka mwezi wa Kumi kumchakachua diwani wa watu maskini,mnamfukuza leo watu wamesahau matokeo yake mnaonekana kama mmemuonea wakatio ni haki yake.Haki inayocheleweshwa ni haki iliyonyang'anywa,mlikuwa mnamnyang'anya haki yake ya kufukuzwa kama mnavyowanyang'anya Mamvi na Vijisent boy haki zao za kufukuzwa.Alifukuzwa siku ya Kampeni Viwanja vya mwembetogwa,ningekuwa naweza kukuwekea sauti through you tube ningefanya hivo sema sina hiyo privilage hapa.
My take:Taratibu zote alifuata ikiwa ni pamoja na kumwita Mtuhumiwa Bw. Kapwani akagoma kwenda CC Dar.Sijui nyie Ze Magambazi,usijesema Demokrasia(au Domokrasia kama ulivyoiita) haikufuatwa japo mtu mwenyewe alikuwa mhuni.
 
Nape ameamua kumkaanga Kilumbe kwani ndiye aliye mzibia asifurukute katika uchaguzi wa kura za maoni CCM jimbo la Ubungo ambapo Kilumbe alikua kambi ya Mwangunga na ndio alikua incharge,
 
Back
Top Bottom