Viongozi wa Chadema wamekata rufaa NEC kupinga suala la uraia wenye utata wa mgombea wa ccm sioi sumari.
Hakuna ubishi maamuzi yaliyofanyika ni ya kibabe tu wa chama tawala katika kuhalalisha utata wa uraia wa sioi.
Watanzania wanauliza hivi ccm mnafikiri watanzania hawaoni ubabe mnaoutumia?? Hivi mnataka kumdanganya nani kuwa hata nyinyi CCM mlijua na mnajua kuwa uraia wa sioi una utata?? Hivi kuhalalisha utata huo hamuoni CCM mmedhihirisha kufanya kazi kwa double standand, hamuoni mnaipeleka nchi pabaya?? (Hata hivyo mmekuwa sikio la kufa hamsikii dawa.
hatari kubwa ni pale ambapo gharama ya ubabe huu itakapolipwa hapo baadae, itakuwa ni balaa.
Hakuna ubishi maamuzi yaliyofanyika ni ya kibabe tu wa chama tawala katika kuhalalisha utata wa uraia wa sioi.
Watanzania wanauliza hivi ccm mnafikiri watanzania hawaoni ubabe mnaoutumia?? Hivi mnataka kumdanganya nani kuwa hata nyinyi CCM mlijua na mnajua kuwa uraia wa sioi una utata?? Hivi kuhalalisha utata huo hamuoni CCM mmedhihirisha kufanya kazi kwa double standand, hamuoni mnaipeleka nchi pabaya?? (Hata hivyo mmekuwa sikio la kufa hamsikii dawa.
hatari kubwa ni pale ambapo gharama ya ubabe huu itakapolipwa hapo baadae, itakuwa ni balaa.