M MPadmire JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,928 3,225 Oct 28, 2010 #1 Kwa sasa hivi fujo zinaendelea Tarakea Rombo, Polisi wameogopa kwenda eneo la Tukio. Kisa ni Kada wa CCM amgonga kwa gari mwendesha pikipiki wa Chadema
Kwa sasa hivi fujo zinaendelea Tarakea Rombo, Polisi wameogopa kwenda eneo la Tukio. Kisa ni Kada wa CCM amgonga kwa gari mwendesha pikipiki wa Chadema
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Oct 28, 2010 #2 mbona tunaharibu mambo mwishoni mwishoni jamani?
DICTATOR JF-Expert Member Sep 17, 2010 391 3 Oct 28, 2010 #4 mkuu tupe update, kipi kinaendelea hadi sasa?
M MPadmire JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,928 3,225 Oct 28, 2010 Thread starter #5 aa wewe ni fujo, hapafai kukaa, ngoja pakiwa shwari nitawapa full stori
M Mzawa Halisi JF-Expert Member Feb 25, 2009 637 361 Oct 28, 2010 #6 Mpadmire said: aa wewe ni fujo, hapafai kukaa, ngoja pakiwa shwari nitawapa full stori Click to expand... Hapajatulia bado?
Mpadmire said: aa wewe ni fujo, hapafai kukaa, ngoja pakiwa shwari nitawapa full stori Click to expand... Hapajatulia bado?
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Oct 28, 2010 #8 Nimongea na jamaa yangu yuko huko kwa mramba ananambia tangu rais mtarajiwa slaa aende mara mbili Mramba na chichiemu hawana lao!
Nimongea na jamaa yangu yuko huko kwa mramba ananambia tangu rais mtarajiwa slaa aende mara mbili Mramba na chichiemu hawana lao!