The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,845
kila mara humu tukijadili habari za namna viongozi wanavyochaguliwa
hasa ndani ya cmm,kuna kitu kimoja ambacho hatukijadili kwa mapana.
nacho ni huu utaratibu usioandikwa popote lakini
ni sehemu ya utaratibu rasmi wa ccm,ambao ni kuchagua rais
kwa kubadilishana dini.....
yaani akitoka mkristo anaingia muislam,na akitoka muislam anaingia mkristo.
ingawa nyerere aliupinga waziwazi mwaka 1995.but ndani ya ccm huo ni utaratibu rasmi....
na ndio maana salim a salim alikataa kugombea urais mwaka 1995.
ukiaangalia wagombea urais mwaka 1995 ndani ya ccm utakuta waislamu
wawili tu.
but ilipofika 2005.waislamu wakawa wengi mpaka zanzibar wakajitokeza.
ingawa huu utaratibu haufai na ni wa hatari lakini upo na
ukimuuliza yeyote wa ndani kabisa ccm,atakwambia huu ni utaratibu rasmi.
so utaona lowassa na wengine wakristo target yao kubwa ni 2015.
kanisa katoliki linaufahamu na kuuukubali utaratibu huu..
na ndo maana mwaka 2005 walijitokeza kumuunga kikwete
one of the reason ni kuwa kikwete alionekana kuwa less religious...
ukilinganisha na waislamu wengine......
kwao kanisa katoliki wanachokipigania ni kuwa ikifika zamu ya
wakristo hapo 20015 rais awe mkatoliki....
sera hii pia inatumika nigeria.
kwa hiyo kikwete alichaguliwa kwa sababu nyingi sana ikiwemo hii.
hasa ndani ya cmm,kuna kitu kimoja ambacho hatukijadili kwa mapana.
nacho ni huu utaratibu usioandikwa popote lakini
ni sehemu ya utaratibu rasmi wa ccm,ambao ni kuchagua rais
kwa kubadilishana dini.....
yaani akitoka mkristo anaingia muislam,na akitoka muislam anaingia mkristo.
ingawa nyerere aliupinga waziwazi mwaka 1995.but ndani ya ccm huo ni utaratibu rasmi....
na ndio maana salim a salim alikataa kugombea urais mwaka 1995.
ukiaangalia wagombea urais mwaka 1995 ndani ya ccm utakuta waislamu
wawili tu.
but ilipofika 2005.waislamu wakawa wengi mpaka zanzibar wakajitokeza.
ingawa huu utaratibu haufai na ni wa hatari lakini upo na
ukimuuliza yeyote wa ndani kabisa ccm,atakwambia huu ni utaratibu rasmi.
so utaona lowassa na wengine wakristo target yao kubwa ni 2015.
kanisa katoliki linaufahamu na kuuukubali utaratibu huu..
na ndo maana mwaka 2005 walijitokeza kumuunga kikwete
one of the reason ni kuwa kikwete alionekana kuwa less religious...
ukilinganisha na waislamu wengine......
kwao kanisa katoliki wanachokipigania ni kuwa ikifika zamu ya
wakristo hapo 20015 rais awe mkatoliki....
sera hii pia inatumika nigeria.
kwa hiyo kikwete alichaguliwa kwa sababu nyingi sana ikiwemo hii.