Kila harakati zilizofanywa wakati wa Baba wa Taifa zililenga kipiga vita MAADUI watatu yaani UJINGA,MARADHI na UMASKINI. lakini sasa cha ajabu mambo yamekuwa tofauti kwani katika miaka hii ya karibuni Adui mwingine kaongezeka,naye anajiita kwa A.K.A ya nyoka aliyejivua gamba.Na kuafanya list ya maadui WANNE na kusomeka kama ifutavyo CCM,UJINGA,MARADHI na UMASKINI hivyo wito umetolewa kwa wale Watanzania wazalendo na wenye akili timamu kupambana na maadui hawa ili kujiletea maendeleo. WANA JF mnasemaje?