Silas Haki
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 368
- 39
Unajua kusoma siyo mwisho wa ujinga, hao wanafunzi wanaojidai kushabikia CCM bado wako kwenye stage ya kwanza kabisa ya ujinga ambayo ni kutojitambua wenyewe na kutotambua nafasi yao katika jamii.hata mie hainiingii akilini kabisaaa...inawezekana wamesoma but hawajaelimika