LWAKAPISI
Member
- Mar 31, 2011
- 46
- 4
katika hali inayoonesha kuwa mahesabu ya ccm kuwa udom ni kambi yake yanapotea sasa wanaccm wachache chuoni hapa wamekuwa hawana amani tofauti na wenzao wa cdm.Mfano siku wanaenda kuazimisha kuzaliwa chama tr5.2,huko chuo cha sayansi ya jamii gari la matangazo lilipigwa mawe hadi likaondoka,chuo cha elimu wachache waliojitokeza walirushiwa maji taka,kuzomewa na kupigwa mawe,Kali ni juzi tr14.4 ambapo mmoja wao aliyejulikana kwa jina la MACHAKU alikuwa akipita mitaa ya hosteli za chuo cha elimu akitangaza kuwa tar16.4 kungekuwa na mkutano wa chama ukumbi wa nec,lakini maeneo yote alizomewa,kutupiwa majitaka na matusi juu hadi chuo ikawa tafrani kwa mayowe.Hii ni tofauti na wale wa cdm maana wao wakionekana kutangaza kitu au mkutano chuo kizima ni kelele za shangwe na peoples power kwa sana,
hakika udom imekombolewa ccm jenga pengine
hakika udom imekombolewa ccm jenga pengine