Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Wahenga walishasema lakuvunda halina ubani, CCM wameshinda kesi ya ubunge segerea! je watapata uungwaji mkono kwa kutumia hukumu hiyo? Nadhani mambo yatakuwa magumu zaidi kwao, kwa kweli kama mkaazi wa segerea, naona kama imeamsha chuki mbaya kabisa dhidi ya CCM.
Hata baadhi ya wanachama wa CCM wameshangaa na kutahayari, sasa CCM watapoteza zaidi tofauti na matarajio yao, wamekosa charisma, wangefocus kidogo isingekuwa kama mambo yalivyo leo, anyway siasa za kiafrika huwa hawajali, wanaona kwa kuwa muda huu jamaa kashinda basi, lakini ina madhala makubwa kwa chaguzi zitakazo fuatia, inaweza ikawa mala ya mwisho kwa CCM kushinda kiti cha ubunge siyo segerea tuu bali hata sehemu nyingine nyingi ambazo walijua mambo yalivy jiri segerea.
Kwa wakati huu yes ni mbaya saana kwa CCM na No nayo ni mbaya zaidi kwa CCM, ndio maana nimechukua msemo wa walinzi wa zamani wa kimachinga, uchikimbia nchale uchichimama nchale!
Nawasilisha
Hata baadhi ya wanachama wa CCM wameshangaa na kutahayari, sasa CCM watapoteza zaidi tofauti na matarajio yao, wamekosa charisma, wangefocus kidogo isingekuwa kama mambo yalivyo leo, anyway siasa za kiafrika huwa hawajali, wanaona kwa kuwa muda huu jamaa kashinda basi, lakini ina madhala makubwa kwa chaguzi zitakazo fuatia, inaweza ikawa mala ya mwisho kwa CCM kushinda kiti cha ubunge siyo segerea tuu bali hata sehemu nyingine nyingi ambazo walijua mambo yalivy jiri segerea.
Kwa wakati huu yes ni mbaya saana kwa CCM na No nayo ni mbaya zaidi kwa CCM, ndio maana nimechukua msemo wa walinzi wa zamani wa kimachinga, uchikimbia nchale uchichimama nchale!
Nawasilisha