Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,803
Nasikia ni janga la taifa liloitafuna nchiLuwasa ndio nini ?
Nasikia ni janga la taifa liloitafuna nchiLuwasa ndio nini ?
Luwasa ndio nini?
Luwasa ndio nini ?
Haya bwana wacha tu nikubaliSalary Slip siku hizi unatumia common sense
Ni mtanzania anahaki ya kuhoji Mpuuzi mkubwa wewe, MTU mzima kujitoa akili tu,wakuoneshe ili iweje na wewe ni nani?. anzeni nyie kutuonesha risiti ya luwasa kununua chadema na manyumbu wote...
Hapo ndio hata mimi napowashangaa.Kama kuonesha live haina umuhimu. Kwanini wasirecord tu afu wakaludia saa 5
Sometimes ni bora kukaa kimya kuliko kujiaibisha.Wakuonyeshe vipi wakati wewe mwenyewe ujulikani umejificha kwa jina la bandia jitambulishe wewe ni nani ili upewe list.
Kwani wakishakuonesha receipt ya malipo then utachukua hatua gani? Sasa ni hivi, usipate shida, kesho fika ofisi za TBC asubui then nenda Mhasibu Mkuu UMUOMBE hizo taarifa.. atakupatia halafu uje hapa JF utangaze. sawa mtanzania????Kwa mujibu wa tangazo liliroshwa na star tv,kesho TBC1 kwa kushirikiana na Star tv,wataonyesha moja kwa moja sherehe za kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi(CCM) zitakazofanyika mjini Singida kesho na mgeni rasimi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Raisi mstaafu Jakaya Kikwete.
Binafsi sina shida na TBC1 kuonyesha live sherehe hizo, ila nachotaka kujua ni fedha kiasi gani CCM wameilipa TBC1 na tunawataka waonyesha nyaraka za malipo hayo kwani wote tunakumbuka uamuzi wa hivi karibuni wa serikali kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge kwa kile tulichoambiwa ni TBC1 kutumia fedha nyingi(bilioni 4 kwa mwaka) kurusha matangazo hayo live na hivyo kuigharimu serikali fedha nyingi.
Yeye Ni Mwananchi, ambaye Raslimali za Nchi ni Zetu wote, Pili analipa Kodi inayoiendesha TBC, Ni mpumbavu tu asiyejua Mwananchi ni nani hili ni swali la Kunya! Kama mwananchi angelikuwa, "Yeye ni nani" Hawa mabwana zako unaowaabudu wa CCM wanafuata nini kwa wananchi nyakati za Uchaguzi na Kusema ... "Mkinichagua... Mkinipa Ridhaa yenu... Naombeni Kura zenu" Angekuwa si kitu si! acha nisije nikutukanewakuoneshe ili iweje na wewe ni nani?. anzeni nyie kutuonesha risiti ya luwasa kununua chadema na manyumbu wote...
Mimi au wewe wa kukaa kimya? Unataka serikali wakupe receipt cha kujiuliza watakupia wapi wakati utambuliki wewe ni nani labda unataka wakuletee wapi kwa mfano?Sometimes ni bora kukaa kimya kuliko kujiaibisha.
Daaaaaaa,mkuu naona umeamua kuwachokoza manyumbu,subiri wakushukieKwa mujibu wa tangazo liliroshwa na star tv,kesho TBC1 kwa kushirikiana na Star tv,wataonyesha moja kwa moja sherehe za kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi(CCM) zitakazofanyika mjini Singida kesho na mgeni rasimi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Raisi mstaafu Jakaya Kikwete.
Binafsi sina shida na TBC1 kuonyesha live sherehe hizo, ila nachotaka kujua ni fedha kiasi gani CCM wameilipa TBC1 na tunawataka waonyesha nyaraka za malipo hayo kwani wote tunakumbuka uamuzi wa hivi karibuni wa serikali kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge kwa kile tulichoambiwa ni TBC1 kutumia fedha nyingi(bilioni 4 kwa mwaka) kurusha matangazo hayo live na hivyo kuigharimu serikali fedha nyingi.
Wacha kujitoa ufahamu hapa tunahitaji waweke hizo receipt tuzione msitumie hilo li tbc kwa manufaa yenu tu lkn ikifika muitumie kuwaonyesha wabunge wenu wanavyo lala usingizi bungeni mnaleta mipashoMimi au wewe wa kukaa kimya? Unataka serikali wakupe receipt cha kujiuliza watakupia wapi wakati utambuliki wewe ni nani labda unataka wakuletee wapi kwa mfano?