CCM, tuonyesheni nyaraka za malipo kwenda TBC1 kugharamia kurusha LIVE Sherehe za CCM kesho

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Kwa mujibu wa tangazo liliroshwa na star tv,kesho TBC1 kwa kushirikiana na Star tv,wataonyesha moja kwa moja sherehe za kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi(CCM) zitakazofanyika mjini Singida kesho na mgeni rasimi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Raisi mstaafu Jakaya Kikwete.

Binafsi sina shida na TBC1 kuonyesha live sherehe hizo, ila nachotaka kujua ni fedha kiasi gani CCM wameilipa TBC1 na tunawataka waonyesha nyaraka za malipo hayo kwani wote tunakumbuka uamuzi wa hivi karibuni wa serikali kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge kwa kile tulichoambiwa ni TBC1 kutumia fedha nyingi(bilioni 4 kwa mwaka) kurusha matangazo hayo live na hivyo kuigharimu serikali fedha nyingi.
 
Anatumia common sense - yaani akili ndogo ndogo tu za kuvukia barabara, kuchana nywele, kupiga mswaki n.k
 
salary ccm ni ileile kuna mzee mmoja amepita dakawa na kuwadangaja vijana tutachukua mashamba yote na tutagawa kwa wananchi,kesho anakwenda kudanganya tena huko singida poleni watanzania
 
Kwa mujibu wa tangazo liliroshwa na star tv,kesho TBC1 kwa kushirikiana na Star tv,wataonyesha moja kwa moja sherehe za kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi(CCM) zitakazofanyika mjini Singida kesho na mgeni rasimi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Raisi mstaafu Jakaya Kikwete.

Binafsi sina shida na TBC1 kuonyesha live sherehe hizo, ila nachotaka kujua ni fedha kiasi gani CCM wameilipa TBC1 na tunawataka waonyesha nyaraka za malipo hayo kwani wote tunakumbuka uamuzi wa hivi karibuni wa serikali kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge kwa kile tulichoambiwa ni TBC1 kutumia fedha nyingi(bilioni 4 kwa mwaka) kurusha matangazo hayo live na hivyo kuigharimu serikali fedha nyingi.
Ungewauliza tbc ndio sahihi,wewe si mwana ccm haikuhusu,waulize tbc wamepokea ngapi
 
wakuoneshe ili iweje na wewe ni nani?. anzeni nyie kutuonesha risiti ya luwasa kununua chadema na manyumbu wote...
Hata kama wewe ni mwehu haina maana ndio uje kudhihirisha wehu wako jukwaani.
Huyo anayehoji ni mwananchi na kodi yake inatumika kuendesha TBC hivyo hajakosea.
Wewe umepewa ubongo kwa makosa maana kwako mgongo tu ungetosha!.
 
CCM ni muhimu kuliko bunge eti yaani nafuu watumie ITV na Star TV au Azam ila TBC hapana ni ya umma
 
Back
Top Bottom