Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,169
Moja ya tatizo kubwa linaloikabili CCM kwa sasa ni ukubwa wake, the party is too big kiasi kwamba ikichanganywa na ignorance ya baadhi ya members na viongozi wake suala zima la itikadi na misingi halieleweki na halipewi umuhimu tena. Sasa with such a large organization unahitaji a serious, solution oriented na innovative CEO,mwenye ujuzi wa kudelegate na kufahamu anadelegate nini kwa nani ili apate nini. Something I am sure mwenyekiti wenu siyo! Mwenyekiti na waandamizi wenzake bado wanaongoza kwa mazoea, same way kama ilivyokuwa in the 70's 80's, 90's. Na ndiyo maana hawaishi kutoa mifano ya enzi hizo wakati sometimes haifanani kabisa na wakati tuliopo.
Jingine naloliona ni kwamba ubora wa CCM unakuwa counted kwa populism something which is very wrong for our GOP. Seeking and maintaining populism ndiyo imeifikisha CCM hapo ilipo. Bahati mbaya sana misingi na itikadi hujengwa kwa elimu (ufahamu) wakati populism can just be done with money!!!! Majambazi, wakwepa kodi, wafanya biashara haramu wamekuwa marafiki wakubwa wa CCM ya leo, they maintain the popularity of the party ili wapate ulinzi wa mambo yao. And this has trickled downmpaka kijijini. Ili mambo yako yanyooke hata kama ni mwizi basi associate yourself with CCM.
Hivyo basi CCM kuibadilisha au kubadilika au kujisafisha ni ndoto, na ili ndoto hiyo itimie inabidi CCM ishindwe kwanza ikajipange upya. Unfortunately that is the only way.
Jingine naloliona ni kwamba ubora wa CCM unakuwa counted kwa populism something which is very wrong for our GOP. Seeking and maintaining populism ndiyo imeifikisha CCM hapo ilipo. Bahati mbaya sana misingi na itikadi hujengwa kwa elimu (ufahamu) wakati populism can just be done with money!!!! Majambazi, wakwepa kodi, wafanya biashara haramu wamekuwa marafiki wakubwa wa CCM ya leo, they maintain the popularity of the party ili wapate ulinzi wa mambo yao. And this has trickled downmpaka kijijini. Ili mambo yako yanyooke hata kama ni mwizi basi associate yourself with CCM.
Hivyo basi CCM kuibadilisha au kubadilika au kujisafisha ni ndoto, na ili ndoto hiyo itimie inabidi CCM ishindwe kwanza ikajipange upya. Unfortunately that is the only way.