UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,503
- 7,701
Mkuu, mi nakubaliana na wewe kabisa. Tatizo la watu wa CCM hawataki kuambiwa ukweli, ukiwaambia wanasema unawatukana au huwapendi.
Hivi kweli jamani, kwa hoja za akina MS na akina Majimshindo wanategemea kweli kumshawishi mtu hapa JF na kumfanya aipende CCM? Kama huyo mtu alikosea njia akastukia tu yupo JF ni sawa. Lakini kama alijiunga JF as a GT, wasitarajie mabadiliko, badala yake wategemee maumivu tu.
Jamani, hivi huko CCM hakuna watu wanaoweza kuchambua hoja za hapa JF kwa kuendana na mtiririko wa hoja yenyewe? Kama hawapo, na CCM ikaona hao iliowatuma hapa ndo maGT wao, basi RIP CCM.
Hivi kweli jamani, kwa hoja za akina MS na akina Majimshindo wanategemea kweli kumshawishi mtu hapa JF na kumfanya aipende CCM? Kama huyo mtu alikosea njia akastukia tu yupo JF ni sawa. Lakini kama alijiunga JF as a GT, wasitarajie mabadiliko, badala yake wategemee maumivu tu.
Jamani, hivi huko CCM hakuna watu wanaoweza kuchambua hoja za hapa JF kwa kuendana na mtiririko wa hoja yenyewe? Kama hawapo, na CCM ikaona hao iliowatuma hapa ndo maGT wao, basi RIP CCM.