Juhudi zozote za kuunda CCM-halisi au CCM-Mtandao au whatever... haitafanya lolote... ila wana CCM makini kama akina Warioba, Butiku, Salim etc kuhamia CHADEMA kutakuwa na impact kubwa.
Wakihudhuria ama wakisusa inatusaidia nini kama Taifa? Rais Karume hakuhudhuria baadhi ya matukio ya kitaifa, kelele nyiiingi. Jana kahudhuria, sijui kama Taifa tumefaidika vipi na kuwepo kwake. Sasa naona tunaanza kutafuta ni nani kakosekana kwenye tukio hilo .... kwani imeandikwa wapi kwamba hao wanaotajwa ni lazima, lazima wahudhurie ....
Ila mnatiakiwa pia mchukulie haya kwa tahadhari ya hali ya juu sana... mimi naona jinsi wanachama wa CCM wanavyokuwa huru kuongelea mambo ya kitaifa huenda ndivyo wanavyokomaza chama chao.
Haya ngoja tuangalie, isijifika jamaa wakawa strong zaidi kuliko walivyo sasa!
Ila mnatiakiwa pia mchukulie haya kwa tahadhari ya hali ya juu sana... mimi naona jinsi wanachama wa CCM wanavyokuwa huru kuongelea mambo ya kitaifa huenda ndivyo wanavyokomaza chama chao.
Haya ngoja tuangalie, isijifika jamaa wakawa strong zaidi kuliko walivyo sasa!
THE ruling Chama Cha Mapinduzi, which has been in power for more than 30 years, is in imminent danger of formally splitting within the next few months as a direct result of the increasingly messy ideological battle now being fought within its ranks.
.