The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Ukiangalia walioitishwa kuwania ubunge
na wengine watakao kuwa mawaziri
kuna watu wawili kwenye masuala ya uchumi na fedha nchini
nikama zidane na ronaldinho but ccm kama kawaida yao wamewaacha na kubeba
wauza viungo vya albino na profesa maji marefu.....
Wa kwanza ni prof samuel wangwe alie jaribu kugombea kawe....
Tanzania hii hakuna mtaalamu wa uchumi wa kiwango chake....
Kafanya research zilizopelekea
serikali kuanzisha mkurabita na mkumbita na
mipango mingine tele...
Yeye ni perfect guy kuwepo kwenye team ya uchumi ya taifa itakayopanga bajet na kadhalika.....
Wa pili ni dk hamisi kibola aliejaribu gombea arusha mjini....
Yeye ndie the brain behind kuanzishwa kwa daresaala stock exchange
na utt ambato mifuko yake now ina karibu zaidi ya half a billion dollar
za kuwekeza kutoka kwa wananchi......
Halafu off course kuna arnold kileo ambaye cv yake ni ya kutisha mno
kwenye masuala ya viwanda na fedha..........
Alikuwa tbl wakati tbl ilipokuwa ndio kampuni inayotoa kodi nyingi kuliko zote tanzania......
Juzi alikuwa benki ya stanbinc wakati mkulo alipokwenda kukopa
kujazia bajeti.....
Actually kileo ameiotoa stanbic kutoka kwenye hasara
mpaka kuweza kuikopesha serikali pesa ya bajeti.....
Yaani ni kama zidane,kaka na ronaldinho ambao hawajaitwa timu ya taifa....
Wameitwa akina mkulo,dialo na wengineo ambao ni vichekesho ulitazama tu cv............
na wengine watakao kuwa mawaziri
kuna watu wawili kwenye masuala ya uchumi na fedha nchini
nikama zidane na ronaldinho but ccm kama kawaida yao wamewaacha na kubeba
wauza viungo vya albino na profesa maji marefu.....
Wa kwanza ni prof samuel wangwe alie jaribu kugombea kawe....
Tanzania hii hakuna mtaalamu wa uchumi wa kiwango chake....
Kafanya research zilizopelekea
serikali kuanzisha mkurabita na mkumbita na
mipango mingine tele...
Yeye ni perfect guy kuwepo kwenye team ya uchumi ya taifa itakayopanga bajet na kadhalika.....
Wa pili ni dk hamisi kibola aliejaribu gombea arusha mjini....
Yeye ndie the brain behind kuanzishwa kwa daresaala stock exchange
na utt ambato mifuko yake now ina karibu zaidi ya half a billion dollar
za kuwekeza kutoka kwa wananchi......
Halafu off course kuna arnold kileo ambaye cv yake ni ya kutisha mno
kwenye masuala ya viwanda na fedha..........
Alikuwa tbl wakati tbl ilipokuwa ndio kampuni inayotoa kodi nyingi kuliko zote tanzania......
Juzi alikuwa benki ya stanbinc wakati mkulo alipokwenda kukopa
kujazia bajeti.....
Actually kileo ameiotoa stanbic kutoka kwenye hasara
mpaka kuweza kuikopesha serikali pesa ya bajeti.....
Yaani ni kama zidane,kaka na ronaldinho ambao hawajaitwa timu ya taifa....
Wameitwa akina mkulo,dialo na wengineo ambao ni vichekesho ulitazama tu cv............