Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,654
Huyu ndio TRA walitakiwa wambane sana kuona katika hiyo 20K huwa anachangia dola ngapiana kampuni ya transport & logistics inaingiza USD 2O,000 net profit kwa mwezi! Hawa mawaziri waongo sana. Mtu ana malori zaidi ya kumi hapati kiwango hicho eti yeye ana lori mbili anadai he earns that amount! Oh my god!