babayah67
JF-Expert Member
- Mar 28, 2008
- 493
- 79
Jamani nimepitia You tube na nikaikuta clip moja imewekwa ya Kijana Livingstone Lusinde Mbunge wa Jimbo la Mtera, aliyoyaongea wakati anampigia kampeni Mgombea wa CCM yanashangaza na huwezi amini kuwa yanatolewa na mtu ambaye ni mbunge. Ni Matusi mazito yasomithilika, nashindwa kuelewa je anayetukanwa hawezi fungua kesi kwa haya???
Hebu angalia clip hii:
Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
nawasilisha
Hebu angalia clip hii:
Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
nawasilisha